Mwenge wa Uhuru

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Najaribu kutafakari hizi kauli za viongozi wetu wa siasa kila mmoja ametoa kauli yake nataka kujua hizi kauli kuhusu Mwenge wa Uhuru walikua na maana gani!
  1. Mwalimu Julius Nyerere (Baba wa Taifa) yeye alisemange uwamulike na kuwachoma maadui zetu na kulinda mipaka yetu.
  2. Augustino Lyatonga Mrema (Mbunge wa Vunjo) yeye alisema akipata ridhaa ya kuwa raisi wa nnshii hii kupitia tiketi ya chama cha NCCR Mageuzi atapiga marufuku mwenge wa Uhuru kwakua umepitwa na wakati.
  3. Dr. Wilbrod Slaa naye alisema akiwa kwenye kampeni zake za kuwania Uraisi kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kua Mwenge atauweka kwenye jumba la makumbusho.
Naomba kama kuna mwingine mwenye kujua hatma ya mwenge huu nini suluhisho lake hapo baadae achangie mada hii! Merry Xmass & Happy New 2011:help:
 
Najaribu kutafakari hizi kauli za viongozi wetu wa siasa kila mmoja ametoa kauli yake nataka kujua hizi kauli kuhusu Mwenge wa Uhuru walikua na maana gani!
  1. Mwalimu Julius Nyerere (Baba wa Taifa) yeye alisemange uwamulike na kuwachoma maadui zetu na kulinda mipaka yetu.
  2. Augustino Lyatonga Mrema (Mbunge wa Vunjo) yeye alisema akipata ridhaa ya kuwa raisi wa nnshii hii kupitia tiketi ya chama cha NCCR Mageuzi atapiga marufuku mwenge wa Uhuru kwakua umepitwa na wakati.
  3. Dr. Wilbrod Slaa naye alisema akiwa kwenye kampeni zake za kuwania Uraisi kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kua Mwenge atauweka kwenye jumba la makumbusho.
Naomba kama kuna mwingine mwenye kujua hatma ya mwenge huu nini suluhisho lake hapo baadae achangie mada hii! Merry Xmass & Happy New 2011:help:

Mwenge is a total wastage of:

1.Resources in form of huge sums of money spent in making an event to occur.

2.Labor- represented by humans involved in moving all around with mwenge, and
participating citizens in all areas over the country.

3.Time, with all the values it contains is thrown, and people just watch ngoma overnights!

Mwenge spreads incurable and curable diseases, causes Divorces, and familyies disintergrations!


Mwenge has to go in the National Museum coz young men have to learn in many coming years that through that Souvenir, their grandaparents had suffered a lot!
 
So PJ this two guys Augustino Lyatonga Mrema/Dr. Slaa they were very right?:whoo:
 
anayejua kazi yake hebu anambie kwani kila mwaka lazima ukimbizwe mikoa yote
 
Najaribu kutafakari hizi kauli za viongozi wetu wa siasa kila mmoja ametoa kauli yake nataka kujua hizi kauli kuhusu Mwenge wa Uhuru walikua na maana gani!
  1. Mwalimu Julius Nyerere (Baba wa Taifa) yeye alisemange uwamulike na kuwachoma maadui zetu na kulinda mipaka yetu.
  2. Augustino Lyatonga Mrema (Mbunge wa Vunjo) yeye alisema akipata ridhaa ya kuwa raisi wa nnshii hii kupitia tiketi ya chama cha NCCR Mageuzi atapiga marufuku mwenge wa Uhuru kwakua umepitwa na wakati.
  3. Dr. Wilbrod Slaa naye alisema akiwa kwenye kampeni zake za kuwania Uraisi kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kua Mwenge atauweka kwenye jumba la makumbusho.
Naomba kama kuna mwingine mwenye kujua hatma ya mwenge huu nini suluhisho lake hapo baadae achangie mada hii! Merry Xmass & Happy New 2011:help:
Kuharibu pesa
 
Sioni umuhimu wake kwani miradi mingi mbona inazinduliwa bila huo mwenge.Kwa kifupi hauna manufaa zaidi ya kupoteza pesa,muda na utuletea umasikini kwa kuchangia mafuta na kuwalipa wanao ukimbiza.Mi nafikiri kama fedha hizo zingewekwa zingesaidia kukarabati barabara zilizoharibika maana bajeti yake imepelekwa kwenye homa ya dangue.
 
anayejua kazi yake hebu anambie kwani kila mwaka lazima ukimbizwe mikoa yote
kwakuwa nimekimbiza mwenge nchi nzima simuelewi mtu yeyote anaesema mwenge umepitwa na wakati akiwemo huyo Mrema.
 
Mwenge una faida nyingi kubwa kuliko zote ni;
1. Unajenga Uzalendo na Umoja. Wakimbiza Mwenge hawatoki Mkoa mmoja lkn Mwenge huwaunganisha. Wananchi Mwenge unakopita hupata taswira ya umoja wetu.
2. Mwenge unaharakisha ukamilifu wa miradi ya Maendeleo
3. Mwenge ni mwakilishi wa Rais, taarifa zinazokusanywa kupitia mbio za Mwenge mwisho wake ni kwa Rais. Hivyo humsaidia Rais kama taasisi kutambua hali ya nchi na mazingira ya wananchi wote nchi nzima.
 
Najaribu kutafakari hizi kauli za viongozi wetu wa siasa kila mmoja ametoa kauli yake nataka kujua hizi kauli kuhusu Mwenge wa Uhuru walikua na maana gani!
  1. Mwalimu Julius Nyerere (Baba wa Taifa) yeye alisemange uwamulike na kuwachoma maadui zetu na kulinda mipaka yetu.
  2. Augustino Lyatonga Mrema (Mbunge wa Vunjo) yeye alisema akipata ridhaa ya kuwa raisi wa nnshii hii kupitia tiketi ya chama cha NCCR Mageuzi atapiga marufuku mwenge wa Uhuru kwakua umepitwa na wakati.
  3. Dr. Wilbrod Slaa naye alisema akiwa kwenye kampeni zake za kuwania Uraisi kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kua Mwenge atauweka kwenye jumba la makumbusho.
Naomba kama kuna mwingine mwenye kujua hatma ya mwenge huu nini suluhisho lake hapo baadae achangie mada hii! Merry Xmass & Happy New 2011:help:
Nakubaliana na Dr Slaa kwenye hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom