Ni nembo ya taifa Kama nembo nyingine,

Asiyejua maana haambiwi maana
 
Unaweza kudhibisha " hiyo bajeti ya bilioni 400 kuwa ni sahihi.!
 
Hauna faida yoyote bali kuwaonea wafanyakazi wa Serikali hasa walimu ambao nchi nzima wanakatwa pesa zao chungu nzima tena bila ridhaa yao eti kwa mafuta ya mengi. Ni wizi mtupu wa mabilioni ya pesa za walipa kodi na kwa kujua kumejaa wizi kwenye pesa hizo hawataki CAG azikague.
Walimu acha wakatwe tu maana wamezubaha sana
 
hawatasema ila nahisi hii kitu inaendana na imani za kishirikina..kila mwaka hela kibao zinapotea..hata bwana yule aliesema anabana matumizi bado kaufyata.. wangefanya basi mara moja kwa miaka mitano..toka niko primary school miaka ya tisini hadi leo kila mwaka unazunguka tu..kuna kitu lazma
 
Pesa za kuwalipa watumishi hawana ila za kukimbiza hiyo tochi wanazo. Bajeti ya mwaka iliyopita haijafanya kazi wamefichama kwenye zimwi walilofinyanga liitwalo uhakiki.
Siku nikimkuta mwanaccm Analiwa na simba namkatia simba kachumbari ili ashibe sawasawa.Yanamalenga mwemwe. Hivi uchaguzi ni lini?.
 
Mwenge hauna tija yoyote kwa karne hii ya viwanda. Ni kupotezeana muda na gharama pasipo Sababu
 
Kuna baadhi ya viongozi wanaabudu moto lakini huuita mwenge, ndio maana unawakuta hawana hofu na Mungu kwa ufisadi wanaoufanya.:mad:
 
Habari wadau!

Leo Makamu wa rais Zanziber kazindua mbio za mwenge wa uhuru wakiwa na kauli mbiu ya maendeleo ya Viwanda.

Naomba anaye fahamu umuhimu wa kukimbiza mwenge na matumizi ya zaidi ya bilioni 400.

Nini faida yake?
Mkuu hapo hakuna faida..ni uzandiki tuu wa miafrika. Ni aibu kungangania vitu visivyokuwa na maana na kuacha kufanya vitu vya maana. Mwenge ni kati vitu vya kipuuzi ambavyo serikali hii ya ccm inavitumia kuwaibia watanzania, ni miradi ya wanaccm. Bahati mbaya hata wananchi wenyewe hawafahamu hilo. Can you imagine ni kiasi gani cha fedha zinatumika kugharimia huo upuuzi. Je hizo fedha na rasilimali zisingetumiaka katika miradi ya maendeleo, mfano ni hospitali ngapi zingepata dawa na wananchi wangapi wangetibiwa..the list is endless.....

Upuuzi wa masoud kipanya!!!!
 
Mwenge ulipofikia ni kama phrase ya 'Beauty is in the eyes of beholder' ni special kwa serikari tu hila unapoteza maana kadri siku zinavyoenda na support ya walipa kodi. Wakati as national symbolism za freedom na umuhimu wake kwa taifa it bears huge significance.

Tatizo la mwenge ni jinsi unavyouzwa kwa walipa kodi kwa wengi ni kuukimbiza tu na kufungua miradi mahala unaposimama bila ya kujua mantiki yake haswa. Lets face it kama ni kufungua miradi kila siku viongozi wanakata ribbon bila ya mwenge kukatiza so what special with mwenge; na hapa ndio tatizo lilipo.

Kwa wenzetu vitu kama hivi propaganda za utaifa zinafanywa kwa jicho la hoteliers na huduma zao, uwezi kutoza kulala sh 200,000 kwa siku na mwingine akatoza sh 30,000 kwa huduma ambayo ni perishable kama umeweka kitu tofauti ni lazima yule anaenunua hiyo huduma aielewe sio wewe uliobuni hiyo huduma. Na ndio sababu watu wanaenda to great length with SERVQUAL methods to show why they are different from 30,000 sh night sleep to justify their hidden special services which enhances your overnight stay.

Ndio tulipo umeweka budget ya sh 400b as yet hakuna promotion campaign zozote za umuhimu wake as a symbol ni mwenge tu unakimbia ovyo watu wanabadilishana, kulazimishana kuupokea kwa kusimama barabarani without awareness to the meaning. Wenzetu wanatumia hela nyingi sana kwenye media programs kuonyesha significance ya national ritual na umuhimu kwa nationalism, ni nini wanachokubushana na hiyo ritual kama taifa. Ndipo hela inapoenda huko kuliko kweye posho za viongozi kwa sababu walipa kodi lazima waelewe sababu za gharama zingine zinazotumika kwenye hizo ritual.

Sasa kumwita Dr Bana sijui Humphrey Polepole kwenda kutoa simulizi sio propaganda, you need clever programmes za wanachi unapopita na maelezo yake unaamasisha vipi maendeleo sehemu tofauti with moving images, you need historical anecdotes programs the sort of 'Mohammed Said' stories to invoke emotions za wazee na mambo mengi luluki propagandists wanayotakiwa kufanya kuweza ku justify matumizi na kuufanya mwenge uweze kuonekana muhimu na kupata support ya kujitakia sio kulazimishana.
 
Mwenge ulipofikia ni kama phrase ya 'Beauty is in the eyes of beholder' ni special kwa serikari tu hila unapoteza maana kadri siku zinavyoenda na support ya walipa kodi. Wakati as national symbolism za freedom na umuhimu wake kwa taifa it bears huge significance.

Tatizo la mwenge ni jinsi unavyouzwa kwa walipa kodi kwa wengi ni kuukimbiza tu na kufungua miradi mahala unaposimama bila ya kujua mantiki yake haswa. Lets face it kama ni kufungua miradi kila siku viongozi wanakata ribbon bila ya mwenge kukatiza so what special with mwenge; na hapa ndio tatizo lilipo.

Kwa wenzetu vitu kama hivi propaganda za utaifa zinafanywa kwa jicho la hoteliers na huduma zao, uwezi kutoza kulala sh 200,000 kwa siku na mwingine akatoza sh 30,000 kwa huduma ambayo ni perishable kama umeweka kitu tofauti ni lazima yule anaenunua hiyo huduma aielewe sio wewe uliobuni hiyo huduma. Na ndio sababu watu wanaenda to great length with SERVQUAL methods to show why they are different from 30,000 sh night sleep to justify their hidden special services which enhances your overnight stay.

Ndio tulipo umeweka budget ya sh 400b as yet hakuna promotion campaign zozote za umuhimu wake as a symbol ni mwenge tu unakimbia ovyo watu wanabadilishana, kulazimishana kuupokea kwa kusimama barabarani without awareness to the meaning. Wenzetu wanatumia hela nyingi sana kwenye media programs kuonyesha significance ya national ritual na umuhimu kwa nationalism, ni nini wanachokubushana na hiyo ritual kama taifa. Ndipo hela inapoenda huko kuliko kweye posho za viongozi kwa sababu walipa kodi lazima waelewe sababu za gharama zingine zinazotumika kwenye hizo ritual.

Sasa kumwita Dr Bana sijui Humphrey Polepole kwenda kutoa simulizi sio propaganda, you need clever programmes za wanachi unapopita na maelezo yake unaamasisha vipi maendeleo sehemu tofauti with moving images, you need historical anecdotes programs the sort of 'Mohammed Said' stories to invoke emotions za wazee na mambo mengi luluki propagandists wanayotakiwa kufanya kuweza ku justify matumizi na kuufanya mwenge uweze kuonekana muhimu na kupata support ya kujitakia sio kulazimishana.
ina maana hujui faida za mwenge? MWENGE unakuza sana uchumi kwa mfano kila sehemu unapokwenda wiki moja kabla haujafika wajasiriamali wanakusanyika sehemu utakapolala wanafanya biashara kuanzia mama ntilie,wauza vinywaji , nguo n.k unakuza sana uchumi wa nchi na miradi mingi ya maendeleo inazinduliwa
 
Ni upuuzi tuu hata wangekimbiza bure una maana gani huo baada ya kuwaacha watu wapige kazi wao wapo busy na vitu vya kijinga..
 
Back
Top Bottom