Walimu acha wakatwe tu maana wamezubaha sanaHauna faida yoyote bali kuwaonea wafanyakazi wa Serikali hasa walimu ambao nchi nzima wanakatwa pesa zao chungu nzima tena bila ridhaa yao eti kwa mafuta ya mengi. Ni wizi mtupu wa mabilioni ya pesa za walipa kodi na kwa kujua kumejaa wizi kwenye pesa hizo hawataki CAG azikague.
Hivi kwanini kwenye mikesha ya mwenge uwa wanagawa kondomuMwenge ni nuru y Taifa......unawamulika waovu wote wenye nia mbaya kwa Taifa washindwe na walegee.....ni muhimu sana kwa Taifa
vice versa is trueanaeuchukia mwenge atakua mchawi
Mkuu hapo hakuna faida..ni uzandiki tuu wa miafrika. Ni aibu kungangania vitu visivyokuwa na maana na kuacha kufanya vitu vya maana. Mwenge ni kati vitu vya kipuuzi ambavyo serikali hii ya ccm inavitumia kuwaibia watanzania, ni miradi ya wanaccm. Bahati mbaya hata wananchi wenyewe hawafahamu hilo. Can you imagine ni kiasi gani cha fedha zinatumika kugharimia huo upuuzi. Je hizo fedha na rasilimali zisingetumiaka katika miradi ya maendeleo, mfano ni hospitali ngapi zingepata dawa na wananchi wangapi wangetibiwa..the list is endless.....Habari wadau!
Leo Makamu wa rais Zanziber kazindua mbio za mwenge wa uhuru wakiwa na kauli mbiu ya maendeleo ya Viwanda.
Naomba anaye fahamu umuhimu wa kukimbiza mwenge na matumizi ya zaidi ya bilioni 400.
Nini faida yake?
Halafu bajeti ya wizara ya viwanda na biashara haifiki bilioni 100. Ukistajaabu ya mwenge utayasikia maigizo ya kubana matumizi
mwenge wenyewe ni uchawi tosha sasa Anayeupenda lazma awe mchawi au kama sio mchawi atakuwa kalogwaanaeuchukia mwenge atakua mchawi
hawezi kudhibitisha kwa sababu yeye sio mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikaliUnaweza kudhibisha " hiyo bajeti ya bilioni 400 kuwa ni sahihi.!
umeandika ujinga gani hapa kenge we!Mnaoupenda Mwenge ndiyo mmekubuhu kwa uchawi na Mauaji.
ina maana hujui faida za mwenge? MWENGE unakuza sana uchumi kwa mfano kila sehemu unapokwenda wiki moja kabla haujafika wajasiriamali wanakusanyika sehemu utakapolala wanafanya biashara kuanzia mama ntilie,wauza vinywaji , nguo n.k unakuza sana uchumi wa nchi na miradi mingi ya maendeleo inazinduliwaMwenge ulipofikia ni kama phrase ya 'Beauty is in the eyes of beholder' ni special kwa serikari tu hila unapoteza maana kadri siku zinavyoenda na support ya walipa kodi. Wakati as national symbolism za freedom na umuhimu wake kwa taifa it bears huge significance.
Tatizo la mwenge ni jinsi unavyouzwa kwa walipa kodi kwa wengi ni kuukimbiza tu na kufungua miradi mahala unaposimama bila ya kujua mantiki yake haswa. Lets face it kama ni kufungua miradi kila siku viongozi wanakata ribbon bila ya mwenge kukatiza so what special with mwenge; na hapa ndio tatizo lilipo.
Kwa wenzetu vitu kama hivi propaganda za utaifa zinafanywa kwa jicho la hoteliers na huduma zao, uwezi kutoza kulala sh 200,000 kwa siku na mwingine akatoza sh 30,000 kwa huduma ambayo ni perishable kama umeweka kitu tofauti ni lazima yule anaenunua hiyo huduma aielewe sio wewe uliobuni hiyo huduma. Na ndio sababu watu wanaenda to great length with SERVQUAL methods to show why they are different from 30,000 sh night sleep to justify their hidden special services which enhances your overnight stay.
Ndio tulipo umeweka budget ya sh 400b as yet hakuna promotion campaign zozote za umuhimu wake as a symbol ni mwenge tu unakimbia ovyo watu wanabadilishana, kulazimishana kuupokea kwa kusimama barabarani without awareness to the meaning. Wenzetu wanatumia hela nyingi sana kwenye media programs kuonyesha significance ya national ritual na umuhimu kwa nationalism, ni nini wanachokubushana na hiyo ritual kama taifa. Ndipo hela inapoenda huko kuliko kweye posho za viongozi kwa sababu walipa kodi lazima waelewe sababu za gharama zingine zinazotumika kwenye hizo ritual.
Sasa kumwita Dr Bana sijui Humphrey Polepole kwenda kutoa simulizi sio propaganda, you need clever programmes za wanachi unapopita na maelezo yake unaamasisha vipi maendeleo sehemu tofauti with moving images, you need historical anecdotes programs the sort of 'Mohammed Said' stories to invoke emotions za wazee na mambo mengi luluki propagandists wanayotakiwa kufanya kuweza ku justify matumizi na kuufanya mwenge uweze kuonekana muhimu na kupata support ya kujitakia sio kulazimishana.