AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Wakuu habari zenu popote pale mlipo,lama kichwa cha habari kinavyosema hapo,leo ni siku ya kuzima mwenge wa uhuru,tukio linaloendana na kumbukizi ya kifo cha baba wa Taifa Mwl Nyerere.
Moja ya kitu ambacho pengine labda sikijuii ni kuhusu mahusiano ya Mwenge huu na visiwa vya Znz,naomba kujuzwa kama mwenge huu unamulika hadi Znz kwani sijawahi sikia ukikimbizwa znz.
Na kama haujawai kukimbizwa ni halali kwa Rais wa Znz Dk Shein kuja bara kuuzima ?
Moja ya kitu ambacho pengine labda sikijuii ni kuhusu mahusiano ya Mwenge huu na visiwa vya Znz,naomba kujuzwa kama mwenge huu unamulika hadi Znz kwani sijawahi sikia ukikimbizwa znz.
Na kama haujawai kukimbizwa ni halali kwa Rais wa Znz Dk Shein kuja bara kuuzima ?