Mwenge wa Uhuru kutembelea Shamba la Mananasi la Kikwete, ni Usaliti kwa Rais na Sera ya Viwanda

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
f1e052ea0ac607e39dff921e7899734a.jpg

Rais Mstaafu, Dk Jakaya Kikwete akishika Mwenge wa Uhuru uliopita kutembelea shamba lake la mananasi lililopo Bago Kiwangwa Bagamoyo.

My take:

Kauli mbiu ya mbio za Mwenge kwa mwaka huu inasema, “SHIRIKI KUKUZA UCHUMI WA VIWANDA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.”

Sasa naanza kuelewa umuhimu wa Mwenge huu kuwekwa Makumbusho. Mambo ya Kilimo kwanza yashapitwa na wakati, sasa hivi ni Tanzania ya Viwanda.

Kama wamekosa viwanda bora upite Mashuleni uhamasishe kutokomeza zero.

Ombi langu

Namuomba rais Magufuli awatumbue wote wanaoturudisha nyuma na kufifisha mkakati wetu wa Tanzania ya Viwanda kwa kuendelea kukumbatia Sera zilizoshindwa. Huu ni usaliti kwa Serikali ya Magufuli kuendeleza Kilimo kwanza wakati ni Wakati wa Viwanda.

Hatuwezi kuendelea bila kuwa na dhamira moja. Tumuunge mkono rais Magufuli, tufikie Viwanda.

Sababu 2020 ikifika bila Viwanda, anaweza sema mimi nilikuwa natekeleza Tanzania ya Viwanda ninyi mkanisaliti kwa Kilimo kwanza ndo maana hatukufanikiwa.

Kama kweli tulimchagua tumuunge mkono.


Hadi Sasa sijaona Sababu ya kuachana na Kilimo kwanza na Big Result Now na kujikita na Tanzania ya Viwanda. Ujumbe umefika

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
125d5b9ec735bc1d4f3dc266d1e7a56c.jpg
eb11f89c8d32865d646d0da180958c5d.jpg
 
Hujui mananasi ni malighafi ya viwanda?
Viwanda vipi? Hamna viwanda ndo Maana unaona nyanya na matunda vinaozea Mashambani. Tujenge Viwanda kwanza. Nlitegemea Kikwete atujengee kiwanda kimoja cha kusindika Matunda pale Bagamoyo. Tatizo lake anaona kasalitiwa kwenye Sera ya ke ya kilimo kwanza na BIG RESULTS NOW(BRN). Bora tungeenda na Matokeo makubwa sasa kama tulikuwa hatuna dhamira ya dhati ya Viwanda
 
Viwanda vipi? Hamna viwanda ndo Maana unaona nyanya na matunda vinaozea Mashambani. Tujenge Viwanda kwanza. Nlitegemea Kikwete atujengee kiwanda kimoja cha kusindika Matunda pale Bagamoyo. Tatizo lake anaona kasalitiwa kwenye Sera ya ke ya kilimo kwanza na BIG RESULTS NOW(BRN). Bora tungeenda na Matokeo makubwa sasa kama tulikuwa hatuna dhamira ya dhati ya Viwanda
Sio kila jambo lazma likufurahishe wewr acha mangine yawe ya wenzako kilimo ni uti wa mngongo
 
Kilimo Bila Viwanda Ni Zero,leo Nilikuwa Nasikiliza Rfa Wakulima Wa Nyanya Wametelekeza Mashamba Yao Sbb Bei Ya Nyanya Imeshuka Nahakuna Wateja,debe La Nyanya Sokoni Sh 2000,tuna Import Nyanya Za Pakiti Kutoka Dubai,aibu Kubwa Sna Hata Kiwanda Chakupaki Nyanya Kwenye Pakiti Tumeshndwa
 
Umekosea uliposema kilimo kimepitwa na wakati wewe Unadhani ukifungua kiwanda cha juicy utapata wapi matunda ya kukamua?
Hata kama una shamba la tikiti tutakuja tuu na kwako.
Hapo inatakiwa ustick kwenye faida za huo moto na kama hakuna weka hasara zake. Ili uupinge kwa ujumla sio kupinha kisa umeenda kwenye pineapple
 
Roho mbaya inakusumbua kwani umepungukiwa nini mwenge kuembelea shamba LA Jk?

Hivi hujui kuwa % kubwa Tanzania tunategemea kilimo?

Hizi ni dalili za Watu waliozungusha
Huu mwenge unazunguka kwa kodi yangu. Imeniuma sana kuona mwenge unatekeleza kitu kicho nje ya Malengo. Kauli mbiu ya mbio za Mwenge kwa mwaka huu inasema, “SHIRIKI KUKUZA UCHUMI WA VIWANDA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.” Je hivi ndo Viwanda Mwenge umeenda kushiriki kukuza? Ndo maana hatuendelei sababu hatuna dira wala Uelekeo
 
Mambo ya kilimo yamepitwa na wakati
Sasa ivi ni mambo ya viwanda

Wew jamaa huwa hufikiri vizuri wew.
 
nipo upande wa mtoa mada
Asante mkuu. Tatizo kubwa la nchi yetu ni kwamba kila Rais anakuja na Sera yake, akitoka anaenda na vyote alivyo vianzisha. Hatuna Dira kama Nchi, wanasiasa walioko Madarakani ndo wanapanga twende vipi ndo maana hatujui tunakwenda au tunarudi au twakata kona.
 
f1e052ea0ac607e39dff921e7899734a.jpg

Rais Mstaafu, Dk Jakaya Kikwete akishika Mwenge wa Uhuru uliopita kutembelea shamba lake la mananasi lililopo Bago Kiwangwa Bagamoyo.

My take:

Kauli mbiu ya mbio za Mwenge kwa mwaka huu inasema, “SHIRIKI KUKUZA UCHUMI WA VIWANDA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.”

Sasa naanza kuelewa umuhimu wa Mwenge huu kuwekwa Makumbusho. Mambo ya Kilimo kwanza yashapitwa na wakati, sasa hivi ni Tanzania ya Viwanda.

Kama wamekosa viwanda bora upite Mashuleni uhamasishe kutokomeza zero.

Ombi langu

Namuomba rais Magufuli awatumbue wote wanaoturudisha nyuma na kufifisha mkakati wetu wa Tanzania ya Viwanda kwa kuendelea kukumbatia Sera zilizoshindwa. Huu ni usaliti kwa Serikali ya Magufuli kuendeleza Kilimo kwanza wakati ni Wakati wa Viwanda.

Hatuwezi kuendelea bila kuwa na dhamira moja. Tumuunge mkono rais Magufuli, tufikie Viwanda.

Sababu 2020 ikifika bila Viwanda, anaweza sema mimi nilikuwa natekeleza Tanzania ya Viwanda ninyi mkanisaliti kwa Kilimo kwanza ndo maana hatukufanikiwa.

Kama kweli tulimchagua tumuunge mkono.
Tanzania unajenga kiwanda cha bidhaa gani? Manikinia?
Kivyovyote kitakuwa ni processing industry na malighafi kuu itatoka shambani.

Msisahau wasomi wa zamani tuliaswa "kama mnataka Mali mtaipata shambani"
Au ungefurahi awapeleke nyumbani kwake kwenye vyerehani vyake 6 ndio ukubali kuwa mwenge umepita kiwandani
 
Back
Top Bottom