Mwazange
JF-Expert Member
- Nov 16, 2007
- 1,056
- 80
Wandugu kama tuonavyo jinsi mwenge wa Olympic unavyoleta zengwe duniani kote. Kasheshe la London, Paris, leo huko San Fransisco, Je na sisi tumejiandaa vipi na mapokezi yake? au FFU ndo watakaoukimbiza mwenge, maana wajamaa wale wana kale katabia ka kukong'ota kwanza maswali baadae. Haya kwa wale wenye mapafu ya kupambana nao kwa jina la haki za binadamu za Tibet, Taiwan, Darfur, na kwengineko. Nafikiri utatua bongo tarehe 13 mwezi huu ukitokea Bueno Aires, Argentina. Maoni, tuandamane vipi?