faby
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 2,214
- 765
Pia AY alimgonga dent mzungu kati ya brace&race, du wabongo nouma.
Jf imevamiwa
Pia AY alimgonga dent mzungu kati ya brace&race, du wabongo nouma.
mmmh!!naona una hasira nao ile mbaya!!lkn maandiko yanasema akikupiga shavu la kushoto geuza na la kulia amalizie lkn usimlipize!!!yaani wangewauwa kabisa tuwapunguze wanatutesa sana wanatunynya wazawa na elimu zetu wanatudhalilisha sana da.
when you come to humanity point of view its not applied but in biblical way its apliedmmmh!!naona una hasira nao ile mbaya!!lkn maandiko yanasema akikupiga shavu la kushoto geuza na la kulia amalizie lkn usimlipize!!!
Mbona wengi mnaochangia huu uzi pamoja na mtoa mada mnaonekana kama vile mmefurahia watu kukwapua hayo mamilioni ya kichina
Vijana wa kazi wakiwa juu ya boda boda na silaha za kivita wavamia Noah ya wachina, na kuitoboa toboa na risasi kidogo kisha kunyakua mamillion ya wachina hao na kutokomea nayo kusiko julikana na kuwaacha wachina wamepagawa!
Wachina waonekana wakihaha na kuchanganyikiwa. Yote hayo yamejiri mwenge jioni hii.
Ukisafirisha hela usimnong'oneze hata mkeo, watu washajichokea maisha mda huu, wanakwapua chochote kilicho mbele yao.
Hao si vijana wa kazi ni majambazi. Tusishabikie upuuzi huu maana hili laweza kutokea kwako pia. Majambazi hayana ndugu. Usione leo yamevamia wachina na wewe kwa sababu huwapendi unafurahia, je kesho wakikuvamia wewe utafurahia? Pamoja na matatizo ya wachina hili si jambo la kufurahia!!