kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 788
Good morning Friends,
Aisee nimeumizwa sana na hichi nilichokiona leo tena asbh hii pale maeneo ya Mwenge Mataa, kuna huyu Chokoraa(mtoto wa mtaani) alikuwa anasafisha gari ya mtu binafsi kama kawaida yao huwa hawaulizi.
Sasa wakati wa kumaliza usafi aliojipangia mataa yakaruhusiwa ndio yule Chokaraa akang'oa ( Futa kifaa cha yule dereva cha nyuma ya gari) SIJUI KINAITWAJE, Ndipo alipotaka kukimbia akachomekewa na gari ya mtu wa nyuma aliemuona yule mtoto anafanya wizi ule na kudondoka chini ndipo aliposhushiwa kipigo na kufa.
Nimekosa amani leo, nini kifanyike kukomesha hawa watoto hii tabia yao ya kusafisha gari bila ruhusa?
Nawasilisha......!!!!
Aisee nimeumizwa sana na hichi nilichokiona leo tena asbh hii pale maeneo ya Mwenge Mataa, kuna huyu Chokoraa(mtoto wa mtaani) alikuwa anasafisha gari ya mtu binafsi kama kawaida yao huwa hawaulizi.
Sasa wakati wa kumaliza usafi aliojipangia mataa yakaruhusiwa ndio yule Chokaraa akang'oa ( Futa kifaa cha yule dereva cha nyuma ya gari) SIJUI KINAITWAJE, Ndipo alipotaka kukimbia akachomekewa na gari ya mtu wa nyuma aliemuona yule mtoto anafanya wizi ule na kudondoka chini ndipo aliposhushiwa kipigo na kufa.
Nimekosa amani leo, nini kifanyike kukomesha hawa watoto hii tabia yao ya kusafisha gari bila ruhusa?
Nawasilisha......!!!!