Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Kama mtumishi anasema ivyo bass acha na mim mumin niunge mkono hojaApigwe tu
Kama mtumishi anasema ivyo bass acha na mim mumin niunge mkono hojaApigwe tu
Acha unafiki.noma sana,kwa nini hukupiga simu police kituo si kipo nyuma ya stand tu apo! not making sense wezi wakubwa wa mabilio mnawaacha wanakula viyoyozi mdokozi wa wiper anauwawa asbh na mapema! aibu kubwa sana.
Lengo lao ndio hilo la kuiba tena mbaya zaidi usiku hawaishii kuiba tu mpaka mapanga watakukata nayo.Hapa ndipo wanapokosea kulazimisha mambo utakuta mtu kamkataza usiafishe lakini yeye katumia nguvu
Isome hii comment yako mara mbilimbili ujione hu mjinga na mnafiki kwa kiasi ganiDaaaah hapana kwani hata kumvunja mkono ni adhabu kubwa sana kwani ingewezekana hata kumpa kumchukua yule toto na kumpeleka home na kumpa hata kazi ili aondokane na Maisha ya mtaani
Kwani Lemutuz ni mgogo?
Naona watu mmehamishia siasa kwenye hili suala.....yani mimi nmejibana kazi yangu mshahara 300k nmechukua kamkopo 10m nmenunua kapasso kangu ili niepukane na karaha za foleni,leo hii nipo kwenye foleni chokoraa anamwagia gari yangu maji bila makubaliano kisha analzmisha nimpe pesa kwa bahati mbaya nna not ya 10k namwambia dogo leo sina kisha anachukua jukumu la kuvunja side mirror aisee chalii yangu nakumaliza....msihalalishe uhalifu wanaoufanya hawa vjana
Watu wabaya sana hao ,ninashangaa kuona kuna watu wanawateteaMi sina hamu na chokoraa walinivamia usiku mmoja pale Kemondo Mwanza nikapigwa roba moja matata wakanipora simu wakakimbia,bahati nzuri hawakunisachi so simu moja na hela vilipona,nlikua niko Balimi mbayaa
Tena kama ni dereva mwanamke mmmm wanamakusudi wale watu, japo kuua nayo kesi nyingine wangempa vibao vyakutosha wakamuacha hata kumung'oa jino ilitoshaWafe tu kuna mmoja aliwahi kufuta gari ya mtu aliponyimwa hela akatoa chuma akachuna ile gari kuanzia mwanzo hadi mwisho
HaaaaaaAliekuwa anampiga zaidi siajabu katoka kuzini na mke wa mtu.
Uje umwambie 1 kama atakubali hawezi kubali ila jamani wale watoto sijui tuseme ni malezi wengine wanakimbia makwao, na huyo atakuwa ni mwizi tuDaaaah hapana kwani hata kumvunja mkono ni adhabu kubwa sana kwani ingewezekana hata kumpa kumchukua yule toto na kumpeleka home na kumpa hata kazi ili aondokane na Maisha ya mtaani
Ni kweli kwa wale hapana labda umlete aje akwibie tu nyumbani, wengine wanakulia humo na wazazi wao uje kumpeleka nyumbani mmnHawa watoto ni wezi huwezi kupatia ajira nyumbani kwako,wameisha haribikiwa kichwani siku nyingi
Umeona eee wengine sio dhiki ni tabia tu sasa akubali uende naye na mme anakuchulia laa unaibiwa, japo kuua sio lakini wakikuwahi kama kwenye gari unavitu vya dhamani wanabeba bila hurumaKweli? serious? umpleke nyumbani umpe kazi? au umeamua kuwapa ramani majambazi waje wakubebe mpk wewe na hicho kitanda....... kuna mmoja mdada now nadhani naye ni mama na sio wa mtoto mmoja ... nilijaribu kumwambia twende nyumbani utaenda shule, na kulala majibu aliyonipa............ sijawahi waonea huruma tena wala kuwasemesha
Kama simu kwenye mikoba hata usiseme kwanza usiku kushuka pale huwa ni mtihani sanaYale mabanda ya mama ntilie pale Mwenge njia ya kuendea koka ni kambi ya kudumu ya wezi na vibaka wengi wa jiji hili......
Hao watoto wakiiba au kupata hela ya kuoshea magari huwa wanakimbilia na kuna watu wanawauzia Valium
Hapo kuna unyama wa kila aina kama vile wadada kubakwa na wanafunzi kuporwa vitu vyao hasa nyakati za vipindi vya jioni au usiku.....
Nimekaa hapo Mwenge nimeshuhudia mengi sana mpaka unashangaa wenye mamlaka wanafanya nini huko maofisini......