Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Katibu Itikadi wa CCM aliyeondolewa madarakani bw. Polepole ameudhibitishia umma kuwa aliyekuwa Meneja wa mgombea Urais wa CCM kisha baadae akawa Rais wa Tanzania bwana Abdala Bulembo sio tuu kuwa ni Muhuni bali ni Tapeli pia.
Maneno haya ni mazito sana ndani ya nchi na hususani katika chama chao cha Mapinduzi. Jee kama mtu mkubwa wa kiwango cha Bulembo aliyekuwa jirani na Rais kumbe ni Muhuni na Tapeli, Chama chao kina hadhi ya kuaminika tena?
Maneno haya ni mazito sana ndani ya nchi na hususani katika chama chao cha Mapinduzi. Jee kama mtu mkubwa wa kiwango cha Bulembo aliyekuwa jirani na Rais kumbe ni Muhuni na Tapeli, Chama chao kina hadhi ya kuaminika tena?