BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 325
- 414
🔥🔰MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA NA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI ASUBUHI HII🇹🇿.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumatatu tarehe 23 Mei, 2022 atafanya Mkutano na Waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM (White House) Jijini Dodoma kuanzia Saa 5 na Nusu Asubuhi hii. Nyote Mnakaribishwa.
#ChamaImara
#KaziInaendelea
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumatatu tarehe 23 Mei, 2022 atafanya Mkutano na Waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM (White House) Jijini Dodoma kuanzia Saa 5 na Nusu Asubuhi hii. Nyote Mnakaribishwa.
#ChamaImara
#KaziInaendelea