BenKaile
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 443
- 373
I MIGHT TOOK IT KAMA MASIHARA.. I HOPE YOU MEANT THE SAME HERE. SAD!!!Kwa hiyo unataka watu wasio Wasomi wajifunze na wakijua sisi Wasomi tutapata wapi hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I MIGHT TOOK IT KAMA MASIHARA.. I HOPE YOU MEANT THE SAME HERE. SAD!!!Kwa hiyo unataka watu wasio Wasomi wajifunze na wakijua sisi Wasomi tutapata wapi hela.
AISEE JIBU MURUA SANA HILI NDUGU. I HOPE HE MEANT IT AS A JOKE OR SOMETHING....Hilo si lengo langu, kama unachokisema ni sahihi, unadhani uwepo wa vipindi vya radio na televisheni vinavyojadili masuala ya kisheria pamoja na vitabu, makala za magezeti na vinginevyo vinaathiri upatikanaji wa wateja kwa watu wenye weledi kama mawakili na wengine wa kada ya taaluma ya sheria?
Najaribu kufikiri yaani unachokitaka watu wa kawaida wasijue chochote kuhusu sheria na haki zao ili wewe upate wateja?