EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,512
Imagine Kimara Mwisho asubuhi abiria wanaoenda Kivukoni na Gerezani mistari ni mirefu hadi inafika sehemu inaingiliana (overlapping) na hivyo waendaji wa Kivukoni wanakuwa wanagombania gari na wanaoenda Gerezani.
Hii imepelekea mama mmoja jana kusukumwa na kuzama mguu katikati gari na ngazi.
Kwanini wasipange ruti ya MOROCCO na KIVUKONI wakae sehemu moja na GEREZANI wakapandie wanapopandia wa Morocco kwa sasa?? Hawa hawaingiliani ruti hivyo hawawezi kugombea gari.
Ishu ya pili ni KIVUKONI.
Unakuta mtu umeingia ndani ya stend tiketi ya 650 umeacha mlangoni, ile umeingia ndani unakuta magari ya Mbezi yapo na abiria sio wengi, ila Kimara mstari ni mrefu sana. Ukiamua kukata titeti ya 400 pale ndani ya stend, wanakuzuia kwenye mlango wa Gari eti lazima uwe na ya 650.
Swali la lijuiliza nani anaweza kuingia stend ya mwendokasi bila kuwa alikata ya tiketi ya 650?, na je, zile tiketi za 400 zinazouzwa ndani ya kituo ni za nini?
Sioni ulazima wa tiketi mbili wakati naingia kwenye gari ya Mbezi kama nina ya 400 mpya haijachanwa.
Hili halihitaji hata certificate ya "the amazon college "
Hii imepelekea mama mmoja jana kusukumwa na kuzama mguu katikati gari na ngazi.
Kwanini wasipange ruti ya MOROCCO na KIVUKONI wakae sehemu moja na GEREZANI wakapandie wanapopandia wa Morocco kwa sasa?? Hawa hawaingiliani ruti hivyo hawawezi kugombea gari.
Ishu ya pili ni KIVUKONI.
Unakuta mtu umeingia ndani ya stend tiketi ya 650 umeacha mlangoni, ile umeingia ndani unakuta magari ya Mbezi yapo na abiria sio wengi, ila Kimara mstari ni mrefu sana. Ukiamua kukata titeti ya 400 pale ndani ya stend, wanakuzuia kwenye mlango wa Gari eti lazima uwe na ya 650.
Swali la lijuiliza nani anaweza kuingia stend ya mwendokasi bila kuwa alikata ya tiketi ya 650?, na je, zile tiketi za 400 zinazouzwa ndani ya kituo ni za nini?
Sioni ulazima wa tiketi mbili wakati naingia kwenye gari ya Mbezi kama nina ya 400 mpya haijachanwa.
Hili halihitaji hata certificate ya "the amazon college "