Mwendokasi Kimara-Kibaha zitakuwa na barabara maalum?

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,307
6,883
Katika suala ambalo kama nchi tumefeli ni kutengeneza miundo mbinu rafiki na inayotatua changamoto za raia.
Ukiangalia vituo vya kukatia tiketi za mwendo kasi kati ya Kimara na Kibaha unashindwa kuelewa barabara nane zikifunguliwa je mabasi ya mwendokasi yatakuwa na njia maalumu? Itakuwa wapi? Na abiria wake watapakia vipi?
Maswali ni mengi baada ya kuona jinsi kituo cha mabasi cha Magufuli terminal na cha daladala cha Mbezi Mwisho vilivyoanza kutengeneza jam kama ya iliyokuwepo ubungo.
Ukiangalia pembeni ya barabara nane hakuna sehemu maalum kwa watembea kwa miguu.
Mbona mchoro wa kivukoni kimara ulichorwa vizuri?Na vituo vya mwendokasi viko well designed?
Ni nani alichora hii barabara ya Kimara-Kibaha?
Kwa kuongezea kwanini Morocco Mwenge wametoa lami katikati wasingemodify ile njia ya mwendokasi?
 
Kwenye mpango wa mwendo kadi aka BRT kimara mbezi kibaha haipo.. itachukua miaka mingi sana kuja kufanikisha hilo.

Imagine sasa hivi phase 1 tuu ndio i.rkamilika kati ya phase 6 bila kimara kihaba unayo itaja..

Hadi ziishe hizo phase 6 ndio labda watahamia kimara kibaha .. hata mbezi wanalazimisha tuu.
Katika suala ambalo kama nchi tumefeli ni kutengeneza miundo mbinu rafiki na inayotatua changamoto za raia.
Ukiangalia vituo vya kukatia tiketi za mwendo kasi kati ya Kimara na Kibaha unashindwa kuelewa barabara nane zikifunguliwa je mabasi ya mwendokasi yatakuwa na njia maalumu? Itakuwa wapi? Na abiria wake watapakia vipi?
Maswali ni mengi baada ya kuona jinsi kituo cha mabasi cha Magufuli terminal na cha daladala cha Mbezi Mwisho vilivyoanza kutengeneza jam kama ya iliyokuwepo ubungo.
Ukiangalia pembeni ya barabara nane hakuna sehemu maalum kwa watembea kwa miguu.
Mbona mchoro wa kivukoni kimara ulichorwa vizuri?Na vituo vya mwendokasi viko well designed?
Ni nani alichora hii barabara ya Kimara-Kibaha?
Kwa kuongezea kwanini Morocco Mwenge wametoa lami katikati wasingemodify ile njia ya mwendokasi?
 
Duh watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Pale katikati wameacha nafasi kwa ajili ya kujenga miundombinu ya mwendokasi. Kwa sasa hivi wanatumia njia ya kawaida kama Kimara-Mbezi

Umeshawahi kuwaza vituo vya mwendo kasi vitakuwa wapi?
 
Kwenye mpango wa mwendo kadi aka BRT kimara mbezi kibaha haipo.. itachukua miaka mingi sana kuja kufanikisha hilo.

Imagine sasa hivi phase 1 tuu ndio i.rkamilika kati ya phase 6 bila kimara kihaba unayo itaja..

Hadi ziishe hizo phase 6 ndio labda watahamia kimara kibaha .. hata mbezi wanalazimisha tuu.

Phase haipo kwanini mabasi yanaenda huko? Inamaana pia aliyepanga phase haku forecast
 
Back
Top Bottom