ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kinyume na matarajio hali ya usafiri morogoro road kwa sasa imekua ni kero!
Na hii imeleta hadi msongamano mkubwa vituoni na kwenye mabasi,haya week end tunaambiwa gari hupunguzwa wakati ndio fursa ya wengi kutumia usafiri huo,matokeo yake saa hii saa ni 1:30 jioni tumejazana kituoni posta yanatupita yakiwa tupu yaani hawapakii! Yanayopakia likisimama hata pa kutia mguu huoni!sijui hili mwisho wake lini?kwanini sumatra mmeondoa gari za binafsi mapema?tunteseka Sanaa!
Na hii imeleta hadi msongamano mkubwa vituoni na kwenye mabasi,haya week end tunaambiwa gari hupunguzwa wakati ndio fursa ya wengi kutumia usafiri huo,matokeo yake saa hii saa ni 1:30 jioni tumejazana kituoni posta yanatupita yakiwa tupu yaani hawapakii! Yanayopakia likisimama hata pa kutia mguu huoni!sijui hili mwisho wake lini?kwanini sumatra mmeondoa gari za binafsi mapema?tunteseka Sanaa!