Mwendesha Mashtaka mkuu wa ICC, Fatou Bensouda: Ofisi yangu inafuatilia yanayoendelea Nigeria. Kila damu ya raia itahesabiwa

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,758
4,307
ICC.JPG

Mwendesha Mashtaka mkuu wa ICC, Fatou Bensouda anasema wanafuatilia yanayoendelea Nigeria, kwamba kila damu ya raia itahesabiwa

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter Fatou Bensounda amesema "Ofisi yangu imekuwa ikifuatilia kwa karibu matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Nigeria pamoja na hatua zinazochukuliwa na wasimamia sheria na mawakala wa usalama. kila upotevu wa maisha au jeraha lolote litalojitokeza kwa raia linahesabiwa. Tunapokea habari inayodai uhalifu na tunafuatilia kwa karibu yanayoendelea".

Zaidi soma
My Office has been closely following the events arround current protest in Nigeria and the reaction of Nigeria's law enforcement and security agencies. any loss of life and injury are concerning. We have receive information alleging crimes and are keeping close eye on developments, in case vilance escalets and any indication arise that rome statute crimes may have been commited. I call for calm and restraint.
 
Nenda kapasuliwe kichwa kwanza halafu Fatou atakuja kukusaidia. La sivyo baku humu humu ukibonyeza keyboard.
Bomu linaweza kukupata kama Akwilima aliyekua kwenye daladala..hivyo usipindishe singo la ujinga kusema watu wakiandamana barabarani ndo watapasuliwa.
Futa ujinga wako ndugu mjinga.
 
Vidume vimeingia road kutaka haki itendeke ila huku watu wanataka haki itendeke wao wakiwa wamejificha nyuma ya keyboard,wakitoka hapo wanaenda kujazana kwenye mikutano ya kampeni kisha wanarudi nyumbani.
 
Bomu linaweza kukupata kama Akwilima aliyekua kwenye daladala..hivyo usipindishe singo la ujinga kusema watu wakiandamana barabarani ndo watapasuliwa.
Futa ujinga wako ndugu mjinga.

hiyo ni ajali kama nyingine.
 
Hii tusipokuwa makini mambo yaliyotokea nchi za kiarabu haya mambo yanaweza kuja Africa kirahisi Nigeria itaonesha njia ya Africa wakifanikiwa tu tupake maji ndio maana mataamko mengi siku hizi toka kwa mabalozi. Kuna nchi ni targets ila mabadiliko ya maumivu yake nchi za kiarabu mpaka leo hazija recover. Hapo Sudan tu watu walishangilia sana kumtoa Bashir leo kama wanamkumbuka maana inflation almost 200% toka wamemuondoa, Libya, Egypt( ila Egypt wali recover haraka baada ya kujuwa wamefanya makosa wakawarudisha watu wa Hosni Mbaraka haraka ndio kina Raisi Sisi hii ndio iliokoa Egypt). South Sudan ni majanga tu ndio maana naogopa sana na hii hali ni vizuri walioko madarakani wakabadilika na wakati kabla kubadilishwa.
 
Hii dunia inamambo ya hovyo sana, mbona Syria hajaesabu damu na majeruhi.

Amuhesabie na Purtini damu na majeruhi syria ili amshtaki.

Akikaidi wajaribu kumkamata atakapo toka nje ya Urusi.
 

Mwendesha Mashtaka mkuu wa ICC, Fatou Bensouda anasema wanafuatilia yanayoendelea Nigeria, kwamba kila damu ya raia itahesabiwa

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter Fatou Bensounda amesema "Ofisi yangu imekuwa ikifuatilia kwa karibu matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Nigeria pamoja na hatua zinazochukuliwa na wasimamia sheria na mawakala wa usalama. kila upotevu wa maisha au jeraha lolote litalojitokeza kwa raia linahesabiwa. Tunapokea habari inayodai uhalifu na tunafuatilia kwa karibu yanayoendelea".

Zaidi soma
My Office has been closely following the events arround current protest in Nigeria and the reaction of Nigeria's law enforcement and security agencies. any loss of life and injury are concerning. We have receive information alleging crimes and are keeping close eye on developments, in case vilance escalets and any indication arise that rome statute crimes may have been commited. I call for calm and restraint.
Huyu bi mkubwa yupo vizuri najua hili atalifuatilia vizuri,ila asiogope pamoja na kuwekea vikwazwo na US asisahau kudai haki ya raia wa Afghanstan na Yemen walio uliwa na wanajeshi wa USA.
 

Mwendesha Mashtaka mkuu wa ICC, Fatou Bensouda anasema wanafuatilia yanayoendelea Nigeria, kwamba kila damu ya raia itahesabiwa

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter Fatou Bensounda amesema "Ofisi yangu imekuwa ikifuatilia kwa karibu matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Nigeria pamoja na hatua zinazochukuliwa na wasimamia sheria na mawakala wa usalama. kila upotevu wa maisha au jeraha lolote litalojitokeza kwa raia linahesabiwa. Tunapokea habari inayodai uhalifu na tunafuatilia kwa karibu yanayoendelea".

Zaidi soma
My Office has been closely following the events arround current protest in Nigeria and the reaction of Nigeria's law enforcement and security agencies. any loss of life and injury are concerning. We have receive information alleging crimes and are keeping close eye on developments, in case vilance escalets and any indication arise that rome statute crimes may have been commited. I call for calm and restraint.
Hivi Marekani alienda? Nilisikia walimzuia kuingia huko!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom