mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,315
kuwa na baba kama wewe sio tatizo,tatizo ni akili zako ndio kipengere.Sawa kiungo cha chipsi... ila muulize vizuri maza, huwezi jua wewe ni mtoto wa nani
kuwa na baba kama wewe sio tatizo,tatizo ni akili zako ndio kipengere.Sawa kiungo cha chipsi... ila muulize vizuri maza, huwezi jua wewe ni mtoto wa nani
Laana za kumuondoa Jiwe?. Kama ni Mungu ndio kamuondoa nani anaweza kumlaani muumba?.Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
tulizeni matucle,hali si shwari.Katika huduma zote hizo ulizotaja ni huduma ipi huyo mwananchi wa kawaida anaikosa kwa sasa...acha majungu!
Wanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Kina nani hawa Mkuu?tulizeni matucle,hali si shwari.
watu wako kwenye majonzi mnaleta siasa zenu za kichoko
View attachment 1792707
huyu jamaa mwanamume alikuwa mfanyakazi wa vodacom ameuawa na majambazi baada ya kutoka bank.Kina nani hawa Mkuu?
Hujajib swal lang, suala la mishahar unaweza anzisha uzi tuchangie
Dooh kumbe ni huyo aliyepigwa risasi na majambazi ,inasikitisha sana.huyu jamaa mwanamume alikuwa mfanyakazi wa vodacom ameuawa na majambazi baada ya kutoka bank.
Kujenga uhasama kati ya watanzania fulani na wengine...ndiyo njia pekee mliyobaki nayo ya kutuvuruga watanzania. Mtashindwa......ilikuwa ni hujuma ya .... Jaribio hilo limeshindwa.
Wala sishangai. Hata dada zako wakati wanavunja ungo walikuwa na tabia kama yako. Ni kawaida...kuwa na baba kama wewe sio tatizo,tatizo ni akili zako ndio kipengere.
Kweli kabisa , mama mitano tenaTutampa mitano tena... atake asitake...
Atakayeumia na uamuzi wetu akamate kitanzi ajinyonge amfuate bwana yule
Nawe chunga Sana Tena Sana mihemko yako ya kikabila na kikanda!Mwisho wa siku kura zao zitahesabika bila kujali kuwa hizi ni za wasomi au matajiri! Chunga sana mihemko yako ya kikabila
Vyeti feki mnateseka sana aseeEti kwa wananchi wa kawaida wamemwona mkombozi? Mkombozi wa nini yule mwendazake?
Waliomwona mkombozi ni sukuma gang ambao walimwona kama mungu wao. Aende zake, Kyle hajatukomboa kwa lolote zaidi ya kutufokea tu.
Nini tulikipata kwake tulichokikosa kwa Jakaya?
Naamini ni mwendelezo tu wa hujuma zilizokuwa zikiendelea hata wakati wa Hayati John Pombe Magufuli. Kwa miaka yote ya kipindi chake kulikuwa na figisu zinazoashiria hujuma.Wanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Vyeti feki? Kama angalau ulifanikiwa kufika chuo kikuu, yawezekana nilikuwa mwalimu wako we poyoyo
Uwezi kuwa mwl wa chuo kikuu kwa akili za matakoni kama hiziVyeti feki? Kama angalau ulifanikiwa kufika chuo kikuu, yawezekana nilikuwa mwalimu wako we poyoyo
Kwa Sasa Ipo kwa ajili ya kuuwa CHADEMA hayo mengine mnawabebesha mzigo tu.Kama ni hujuma kweli, basi ina maana hata taasisi nyeti kama TISS ukiondoa viongozi wakubwa serikalini, zinahusika...
Wote tunajua kuwa moja ya jukumu kubwa kabisa la TISS ni KUNUSA na KUTAMBUA na ikibidi KUZUIA aina yoyote ya hujuma dhidi ya nchi yetu...
Kama haya yanatokea halafu "jicho la nchi" yaani TISS halioni mpaka kunatokea madhara KIJAMII na KIUCHUMI nchini, maana yake taasisi hii muhimu inakuwa haina maana yoyote kuwepo....!!
Koozito wewe mtu ni mpumbafu kuliko wapumbafu hata aliokuwa akiwasema Baba wavTaifa letu Mwl NyerereWanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack