Mwema unalijua hili????

Aug 2, 2007
61
6
Ndugu wanaforums,,kutokana na tendo la kutangaziwa kushushwa na baadae kurudishwa kwa ndege,,tulipofika arusha ilibiidi tujue nini kimefanya tushuke,,walishindwa kuomba police,,ndipo tulipoammbiwa kuna police walienda kuitwa walipofika ndani wakaambiwa ni bwana nyitti,,wote wakarudi na walipoulizwa kwa nini hamkumshusha walijibu huyo bwana mpaka tupate ruhusa kwa top,,si rahisi kushushwa,,jama wakakimbilia kwa bosi wao kumbe ndio muda tunawekwa wanajadiliana jinsi ya kumshusha,,ndipo wakaja na kuwambia marubani kuchukua toka kwa ndege ni ngumu,,sie tutoleen nje ya ndege tutajua cha kufanya,,nyie ma police acheni kuwa miungu mtu,,wakiwa walalahoi wenzenu mnakuwa wa kwanza kurusha makofi ili muongezewe vyeo na maboss wenu,,mnawapa shida marubani kufnya azi za ziada wenu wanblog,,
 
Mzee Mavituu. Nakuheshimu sana mkuu wangu, mbona hautuelezi huyo nyitii alifanya kitu gani. umemgusia lakini hujasema kwanini wali muogopa? na je mlielezwa ni kwanini hiyo ndege ilirudishwa uwanjani.mkuu hiyo ndio bongo jambazi ana haki kuliko raia mwema. nakumbuka kulikuwa na magari yaendayo tanga yalikuwa yameandikwa yarabi salama. hivyo tuombe mungu tutafika salama huko tunapo elekea.
 
Ndugu wanaforums,,kutokana na tendo la kutangaziwa kushushwa na baadae kurudishwa kwa ndege,,tulipofika arusha ilibiidi tujue nini kimefanya tushuke,,walishindwa kuomba police,,ndipo tulipoammbiwa kuna police walienda kuitwa walipofika ndani wakaambiwa ni bwana nyitti,,wote wakarudi na walipoulizwa kwa nini hamkumshusha walijibu huyo bwana mpaka tupate ruhusa kwa top,,si rahisi kushushwa,,jama wakakimbilia kwa bosi wao kumbe ndio muda tunawekwa wanajadiliana jinsi ya kumshusha,,ndipo wakaja na kuwambia marubani kuchukua toka kwa ndege ni ngumu,,sie tutoleen nje ya ndege tutajua cha kufanya,,nyie ma police acheni kuwa miungu mtu,,wakiwa walalahoi wenzenu mnakuwa wa kwanza kurusha makofi ili muongezewe vyeo na maboss wenu,,mnawapa shida marubani kufnya azi za ziada wenu wanblog,,

Mzee wa Mvituzii
Mbona umeanzia katikati kuelezea tukio hili. Naomba uanze upya kwa kweli inaelekea nistori nzuri lakini umeanza kama vile sote tunajua ilikoanzia, yaani umeanza umeanzia karibu na mwisho.
 
Yah Ni Hivi Bubu Msema Ovyo,,kama Uliona Thread Ya Safi Rubani Niliotuma Hii Ndio Muendelezo Wake Ila Kwa Wale Waliochelewa Ni Hivi,

Mzee Wa Mawe(nyitt) ,tulipanda Wote Kama Abiria Tukielekea Kilimanjaro,,tulipishana Jamaa Alikwaa Na Mawaziri(first Class M Nkaelekea Kwetu (daraja La Kawaida)
Baada Ya Abiria Wote Kupanda Ndege Aikuonodka,,mwisho Rubani Akasema Samahani Tunaomba Kwa Usumbufu Kutokana Na Swala La Usalama,,tunaitaji Kumshusha Abiria Mmoja Kwa Uslama Wetu Wote,,
Gafla Wakaja Police Walipoingia Wakaonyeshwa Huyu Ndie Anaekataa Kushuka,,walipomwona Wakageuka Wote,,watu Wakawauliza Mbona Hamumshushi,,ndipo Bila Aibu Wakajibu Huyo Mpaka Tupate Ruksa Kwa Boss,,huyo Mtu Mkubwa Bwana,rubani Alipoenda Kuambiwa Hivyo Akasema Sasa Naomba Abiria Wote Washuke ,,wlipoanaza Kushuka Jamaa Alipotoka Tu Ndipo Wengine Wakaarudishwa,,poice Wakaambiwa Haya Msimamisheni Tushatoa Ndani,,maana Walisema Hawawezii Kumtoa,,ilikuwa Ni Kichekesho Maana Bado Jamaa Akataka Kurudi,,watu Wote Tukaanza Kuogopa
 
Tulipo Toka Zanzaibar Kuelekea Kia ,,ndipo Mmoja Wa Wafanyakazi Wa Ndani Akanipa Dondoo,,jamaa Wamemkataza Kupanda Atc,,hapo Nyuma Aliwaaibisha Wafanyakazi Wa Ndege Alipofika Kia,,akapiga Simu Kwa Mkuu Wa Kituo Bila Kujua Nini,,wafanyakazi Wote Walichukuliwa Kwa Defender,,wakaenda Kupelekuliwa Cha Kusikitisha Akiwa Anasimulia,,jamaa Kumbe Alimpenda Mtoto Mmoja Siku Nyingi,,vijana Wa Ndege Wakawa Wanakula Hela Yake,,kila Mara Wanamwambia Hana Noma Tupe Njuru,,ndipo Jamaa Akaona Demu Hana Mpango Nae,,siku Alipopanda Akamwona,,akakata Tamaa Akaanza Kumwambia Unajua We Ni Mzuri Sana ,,alipoona Hana Dira Nae,,mzee Wa Mawe Ilipotua Ndege,,akapiga Simu Kwa Mkuu Wa Police Nimeibiwa Tanzanite,,kaka Si Unamjua Nyitti Aongei Mara Mbili,,defender Ikazama Uwanjani,,wakachukuliwa Kama Walivyo Wakaambiwa Mizgo Yenu Baadae,,niliumia Sanakusikia Mtu Wa Heshima Arusha Nzima Tunamheshimu Anafanya Uhuni Kama Huo
 
Jamani lini hawa mapolice wataacha huu uungu mtu,,nilisikitika sana,,,,na cha kusikitisha yule dada mule ndani akaniambia siku wanasachiwa rubani mhusika ni yule alietuendesha,,cha kushangaza GAZETI LA MAJIRA,,LIKAANDIKA mawaziri washushwa kwenye ndege si kweli,kama walishushwa wlifikaje uko kilimanjaro,,muwe na mawazo ya kufikiri na kupanda ukweli pande zote,,na walivyosikitisha wako nyuma kielimu,,wakaandika juhudi zinafanywa kuongea na mkuregenzi wa ATC,,niliwahi kufikiri kusoma uandshi wa habari nkaogopa nkaona ni bora nikawe konda wa malori ya njombe,,huyubwana alikuwa safi kumshusha,,kama wana kesi mahakamani..ilichompandisha nini,,na nasikia akinywa anawasumbua kweli wafanyakazi wa ndege,,wa kike,,kaka labda ndege za zamani,sasahivi watoto wana elimu zao humo ndani,,hawagawi chai kwa shida,,ajira ndio adimu wanablog kwenu hili
 
mzee kidumeso nimetuma nondo kama 3,,jaribu kuzisoma utaelewa jamaaa anavyotaka kununua watanzania wote kama anavyowanunua mapolice kule kia
 
mheshimiwa mwema hawa watu wako inabidi uwafundishe adabu za kuishi na binadamu wasione watu wote hawaana maana,,nilifuraah kuona mawaziri walikuwemo mule ndani,,,,na cha kusikitisha kuna jaamaa alikuwa karibu na mhesh buruani,,mama yetu akawa anwaita wafanyakazi wa ndege kuwaambia kuna vitu wanaenda kufungua yule bwana wako nae,,nkasema
 
KIDUMESO KAKA WALICHOMOGOPEA UNAKIJUA KAKA""""M....A.....W...E"
Huyu bwana anamwaga pesa police kama mchnga,,na yule alieagiza gari defender kule kia,,breaking news,ndio amehamishiwa hapo airport yenu ya julius nyerere,,,eee mungu mnatumia majina ya watakatifu kwenye uwanja uliojaa mafisadiiiiii haya yarbi salama kaka ipo siku tutafika,,
 
sasa Mwema ana ubavu gani wakati leo hii anapeleka majina ya watuhumiwa madawa ya kulevya Ikulu ati kwa vile ni Kigogo!?
 
Unajua hii nchi inaharibiwa na wadhamini wa CCM, wakati wa uchanguzi hawa akina nyiiti ndio wadhanimi, sasa unategemea nini? unafikiri anaweza kukamatwa kama kuku mwenye kidere mzobemzobe,dhubutu, kama hujafukuzwa kazi
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom