Mee wa Mavituuzi
Member
- Aug 2, 2007
- 61
- 6
Ndugu wanaforums,,kutokana na tendo la kutangaziwa kushushwa na baadae kurudishwa kwa ndege,,tulipofika arusha ilibiidi tujue nini kimefanya tushuke,,walishindwa kuomba police,,ndipo tulipoammbiwa kuna police walienda kuitwa walipofika ndani wakaambiwa ni bwana nyitti,,wote wakarudi na walipoulizwa kwa nini hamkumshusha walijibu huyo bwana mpaka tupate ruhusa kwa top,,si rahisi kushushwa,,jama wakakimbilia kwa bosi wao kumbe ndio muda tunawekwa wanajadiliana jinsi ya kumshusha,,ndipo wakaja na kuwambia marubani kuchukua toka kwa ndege ni ngumu,,sie tutoleen nje ya ndege tutajua cha kufanya,,nyie ma police acheni kuwa miungu mtu,,wakiwa walalahoi wenzenu mnakuwa wa kwanza kurusha makofi ili muongezewe vyeo na maboss wenu,,mnawapa shida marubani kufnya azi za ziada wenu wanblog,,