Mwelekeo wa sera za Tanzania kwa kuzingatia maudhui ya Ilani ya CCM ya 2020-2025: Je serikali itaweza kutimiza ahadi hizi zote kwa wakati?

Hoja yako namba 4 naipinga;

Chadema iko Mbeya, Tarime, Nkasi- Kaskazini lakini bado kuna watu mnakuja na propaganda ya ukanda mpaka leo?!

Udini; sijui ni kigezo gani kimetumika kuhalalisha hii hoja yako, umewahesabu walutheri walioko Chadema ukaona idadi yao inazidi madhehebu mengine au dini nyingine? au umeangalia juu juu kwa baadhi ya viongozi ndio ukaja na hii hoja yako?

Usiasa-biashara; hii nayo ni hoja dhaifu, nadhani kwa hii dunia tunayoishi kwa sasa huwezi kulikwepa hili, sisi sio wajamaa tena, na huu mfumo umewekwa na CCM wenyewe, na wapo viongozi wengi wa CCM wanaofanya biashara kwa kificho, midomoni wanajiita wazalendo lakini kiuhalisia hawana lolote, hivyo hapa napo kuilaumu Chadema haiwezi kuendesha nchi kwasababu haya ni maoni yako binafsi yasiyo na uhalisia wowote.
Nakujibu kwa ufupi kama ifuatavyo:

Umeandika: Chadema iko Mbeya, Tarime, Nkasi- Kaskazini lakini bado kuna watu mnakuja na propaganda ya ukanda mpaka leo?!

Najibu: Kitu kinachoitwa KAMATI NDOGO YA KAMATI KUU (KNKK) ndicho hapa nimeitwa CHADEMA DEFENSE MASTERS. Hutaona Rules of Procedures zake na hutajua anazitunga nani, hutajua ziko wapi, lakini zipo. Kama wewe sio kutoka "majuu" huwezi kuingia humo. Na ujue KNKK ina nguvu kuliko Katibu Mkuu, kuliko KK, kuliko BK na kuliko MM. Dr. Mashinji ameng'olewa na KNKK. Fanya utafiti ndugu yangu. KNKK "imechinja" wengi.

Umeandika: Udini; sijui ni kigezo gani kimetumika kuhalalisha hii hoja yako, umewahesabu walutheri walioko Chadema ukaona idadi yao inazidi madhehebu mengine au dini nyingine? au umeangalia juu juu kwa baadhi ya viongozi ndio ukaja na hii hoja yako?

Najibu: Tatizo lilianza miaka ya 2000 pale kijana aitwaye MAXX alipotambulisha Dr. Bagonza kwa Dr. Slaa kama mtu mwenye mapenzi mema na Chadema. Bagonza akatumia jigger principle (kanuni ya funza)--Maafisa Usalama wanaijua zaidi! Akapenya mpaka jikoni Chadema. Ghafla nafasi ya Dr. Slaa ikachukuliwa na akapewa Lowassa. Ghafla nafasi ya Mwenyekiti ikachukuliwa na Bagonza. Mwenyekiti akabaki ni ceremonial mpaka leo. Maamuzi mengi ya Chadema yanafanyika chini ya uratibu wa Bagonza. Ana veto juu ya Wagombea ubunge na urais. Takwimu za wagimbea ubunge mwaka 2015 na 2010 hujaziona. Asilimia kubwa ni walutheri. Kwa ujumla, Bagonza anatumia Chadema kutanua ulutheri. Huu ni udini wa kisayansi. Leo hii Mbowe anatoa maagizo kwa wasaidizi wake, lakini Bagonza anawambia wasaidizi wasiyatekeleze, na Mbowe ananyoosha mikono. Mbowe is a ceremonia Chairperson! Fanya utafiti wako.

Umeandika: Usiasa-biashara; hii nayo ni hoja dhaifu, nadhani kwa hii dunia tunayoishi kwa sasa huwezi kulikwepa hili, sisi sio wajamaa tena, na huu mfumo umewekwa na CCM wenyewe, na wapo viongozi wengi wa CCM wanaofanya biashara kwa kificho, midomoni wanajiita wazalendo lakini kiuhalisia hawana lolote, hivyo hapa napo kuilaumu Chadema haiwezi kuendesha nchi kwasababu haya ni maoni yako binafsi yasiyo na uhalisia wowote.

Najibu: Hoja ya Usiasa-biashara ninayoiongelea mie sio hiyo. Lengo kuu la siasa za dola sio kutafuta faida ya kibiashara. Ni kukuza na kuhami maslahi ya pamoja katika taifa. Kanuni ni maslahi ya pamoja kwanza, faida binafsi baadaye. Lakini seleka za kisiasa ndani ya Chadema zinapindua mizania hiyo. Kanuni yao ni faida binafsi kwanza, maslahi ya taifa baadaye. Hii ndiyo miwani inayotumika kuchuja nani ni insider na yupi outsider. Yeyote anayepingana na kanuni ya "Faida binafsi kwanza, maslahi ya taifa baadaye" anapaswa kuundiwa zengwe na kuondolewa. Hujawahi kujiuliza ni kwanini kina Suzan Lymo wako pale CDM HQ kama mzimu wa ukoo? Wanawekeza kwenye siasa ili kutafuta faida binafsi. Hivyo ndivyo miradi ya helikopta za Ndesapesa na Mafuso ya Chadema ilivyotekelezwa. Hawa Chadema Defense Masters wana utayari wa kubeba risk kubwa, na wakifanikiwa wanapata riba kubwa. Unaweza kukuta 50% ya ruzuku na michango ya chama unarudi kwao. Wabunge juzi walikuwa wanapiga kelele bila kupata majibu sahihi juu ya wapi zimekwenda ruzuku zao. Mawakala wa chama mwaka 2015 na 2020 hawakupata uwezeshaji wakati fedha zimetafuta. Nadhani hata wewe unashangaa mabilioni ya Lowassa yalikwenda wapi hadi mawakala washinde njaa vituoni. Lakini mifereji ya fedha hizi zote ndiyo hiyo inaelekea Kaskazini.

Umeandika: Chadema kusema wataweka rehani madini kwa ajili ya mikopo; hili naona CCM mmeamua kulielezea mnavyopenda nyie, kiuhalisia, haya madini yetu hata leo hii mmeyaweka rehani siku nyingi sana kwa kumnufaisha mzungu wakati ndugu zetu maeneo ya uchimbaji bado wamezungukwa na umasikini wa kutisha, mikataba mliyosaini nao ni ya kinyonyaji, mmekula 10% hamuwakumbuki tena masikini wa nchi hii. Sasa kama Chadema wao watakuja na mbinu nzuri zaidi itayomsaidia mtanzania kupata chochote toka kwenye madini waliyopewa na Mungu kwangu naona nafuu, kuliko madini kuishia kwa mzungu na sisi tunabaki na mashimo tu kwa sababu ya sera mbovu za serikali ya CCM.

Najibu: Sikubaliani na maelezo yako. Kwanza, two wrongs dont make a right. Pili, ukiwa na redio ukaiweka rehani ili mtoto wako alipiwe karo, kabla ya kulipa deni huwezi kusikiliza taarifa ya habari. Ukishindwa kulipa deni redio inachukuliwa. Hivyo, kuweka rehani madini yaliyo ardhini ni sawa na jaribio la kuuza nchi. Kiusalama, sera ya kuweka madini rehani ni blunder kuu iliyofanywa na waandishi wa Ilani ya Chadema. Usiwatetee.

Nimemaliza.
 
Nakujibu kwa ufupi kama ifuatavyo:

Umeandika: Chadema iko Mbeya, Tarime, Nkasi- Kaskazini lakini bado kuna watu mnakuja na propaganda ya ukanda mpaka leo?!

Najibu: Kitu kinachoitwa KAMATI NDOGO YA KAMATI KUU (KNKK) ndicho hapa nimeitwa CHADEMA DEFENSE MASTERS. Hutaona Rules of Procedures zake na hutajua anazitunga nani, hutajua ziko wapi, lakini zipo. Kama wewe sio kutoka "majuu" huwezi kuingia humo. Na ujue KNKK ina nguvu kuliko Katibu Mkuu, kuliko KK, kuliko BK na kuliko MM. Dr. Mashinji ameng'olewa na KNKK. Fanya utafiti ndugu yangu. KNKK "imechinja" wengi.

Umeandika: Udini; sijui ni kigezo gani kimetumika kuhalalisha hii hoja yako, umewahesabu walutheri walioko Chadema ukaona idadi yao inazidi madhehebu mengine au dini nyingine? au umeangalia juu juu kwa baadhi ya viongozi ndio ukaja na hii hoja yako?

Najibu: Tatizo lilianza miaka ya 2000 pale kijana aitwaye MAXX alipotambulisha Dr. Bagonza kwa Dr. Slaa kama mtu mwenye mapenzi mema na Chadema. Bagonza akatumia jigger principle (kanuni ya funza)--Maafisa Usalama wanaijua zaidi! Akapenya mpaka jikoni Chadema. Ghafla nafasi ya Dr. Slaa ikachukuliwa na akapewa Lowassa. Ghafla nafasi ya Mwenyekiti ikachukuliwa na Bagonza. Mwenyekiti akabaki ni ceremonial mpaka leo. Maamuzi mengi ya Chadema yanafanyika chini ya uratibu wa Bagonza. Ana veto juu ya Wagombea ubunge na urais. Takwimu za wagimbea ubunge mwaka 2015 na 2010 hujaziona. Asilimia kubwa ni walutheri. Kwa ujumla, Bagonza anatumia Chadema kutanua ulutheri. Huu ni udini wa kisayansi. Leo hii Mbowe anatoa maagizo kwa wasaidizi wake, lakini Bagonza anawambia wasaidizi wasiyatekeleze, na Mbowe ananyoosha mikono. Mbowe is a ceremonia Chairperson! Fanya utafiti wako.

Umeandika: Usiasa-biashara; hii nayo ni hoja dhaifu, nadhani kwa hii dunia tunayoishi kwa sasa huwezi kulikwepa hili, sisi sio wajamaa tena, na huu mfumo umewekwa na CCM wenyewe, na wapo viongozi wengi wa CCM wanaofanya biashara kwa kificho, midomoni wanajiita wazalendo lakini kiuhalisia hawana lolote, hivyo hapa napo kuilaumu Chadema haiwezi kuendesha nchi kwasababu haya ni maoni yako binafsi yasiyo na uhalisia wowote.

Najibu: Hoja ya Usiasa-biashara ninayoiongelea mie sio hiyo. Lengo kuu la siasa za dola sio kutafuta faida ya kibiashara. Ni kukuza na kuhami maslahi ya pamoja katika taifa. Seleka za kisiasa ndani ya Chadema zinapindua mizania hiyo. Faida binafsi kwanza, maslahi ya taifa baadaye. Hii ndiyo miwani inatumika kuchuja nani ni insider na yupi outsider. Yeyote anayepingana na kanuni ya "Faida binafsi kwanza, maslahi ya taifa baadaye" anapaswa kuundiwa zengwe na kuondolewa. Hujawahi kujiuliza ni kwanini kina Suzan Lymo wako pale CDM HQ kama mzimu wa ukoo? Wanawekeza kwenye siasa ili kutafuta faida binafsi. Hivyo ndivyo miradi ya helikopta za Ndesapesa na Mafuso ya Chadema ilivyotekelezwa. Hawa Chadema Defense Masters wana utayari wa kubeba risk kubwa, na wakifanikiwa wanapata riba kubwa. Unaweza kukuta 50% ya ruzuku na michango ya chama unarudi kwao. Wabunge juzi walikuwa wanapiga kelele bila kupata majibu sahihi juu ya wapi zimekwenda ruzuku zao. Lakini mifereji ndiyo hiyo.

Umeandika: Chadema kusema wataweka rehani madini kwa ajili ya mikopo; hili naona CCM mmeamua kulielezea mnavyopenda nyie, kiuhalisia, haya madini yetu hata leo hii mmeyaweka rehani siku nyingi sana kwa kumnufaisha mzungu wakati ndugu zetu maeneo ya uchimbaji bado wamezungukwa na umasikini wa kutisha, mikataba mliyosaini nao ni ya kinyonyaji, mmekula 10% hamuwakumbuki tena masikini wa nchi hii. Sasa kama Chadema wao watakuja na mbinu nzuri zaidi itayomsaidia mtanzania kupata chochote toka kwenye madini waliyopewa na Mungu kwangu naona nafuu, kuliko madini kuishia kwa mzungu na sisi tunabaki na mashimo tu kwa sababu ya sera mbovu za serikali ya CCM.

Najibu: Sikubaliani na maelezo yako. Kwanza, two wrongs dont make a right. Pili, ukiwa na redio ukaiweka rehani ili mtoto wako alipiwe karo, kabla ya kulipa deni huwezi kusikiliza taarifa ya habari. Ukishindwa kulipa deni redio inachukuliwa. Hivyo, kuweka rehani madini yaliyo ardhini ni sawa na jaribio la kuuza nchi. Kiusalama, sera ya kuweka madini rehani ni blunder kuu iliyofanywa na waandishi wa Ilani ya Chadema. Usiwatetee.

Nimemaliza.
Kuhusu KNKK, unasema haina procedures haijaandikwa popote na wala haionekani, sasa wewe umeifahamia wapi? hili nalo kwangu ni jibu la hisia tu, halina uthibitisho usioacha shaka.

Suala la Bagonza, hapa napo hauna uthibitisho usioacha shaka, huyu Bafonza binafsi nimeanza kumuona mwaka huu wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu hasa anapopinga mambo mbalimbali yanayofanywa na awamu hii, sasa kuniambia Bagonza alishakuwepo Chadema toka enzi na ndie sababu za kuondoka Dk. Slaa Chadema napata mashaka kwa hili jibu lako, nahitaji uthibitisho zaidi. Nijuavyo Slaa aliondolewa na kubadili gia angani ndio akapatikana Lowassa.

Kwenye Siasa - Biashara na habari za kina Suzan Lyimo na mafuso etc, ripoti ya CAG haijawahi hata siku moja kupeleka hati chafu Chadema, au wewe huamini uwezo wa ma CAG wa hapa nchini kwetu? hii hoja yako nayo ni hisia tu, unajaribu kuunganisha matukio hapa na pale upate jibu unalotaka kuiridhisha nafsi yako.

Suala la madini naona hutaki kuyaweka rehani mtoto aende shule akimaliza alete pesa nyumbani ununue redio nyingine nzuri zaidi, wewe unaona bora uyatoe madini bure ubaki na redio yako uendelee kusikiliza taarifa ya habari!.
 
Kuhusu KNKK, unasema haina procedures haijaandikwa popote na wala haionekani, sasa wewe umeifahamia wapi? hili nalo kwangu ni jibu la hisia tu, halina uthibitisho usioacha shaka.
Dah!
Unajua maana ya utafiti?
Mie mtafiti mbobezi.
Mabandiko yangu kwenye ukurasa huu ni ushahidi angalau.
 
- Chadema kusema wataweka rehani madini kwa ajili ya mikopo; hili naona CCM mmeamua kulielezea mnavyopenda nyie,
Naweka kumbukumbu sawa.
Mie sio mwana CCM.
Mie ni mwanachadema kindakindaki.
Huku kwetu Sumbawanga tumefanikiwa kusimika mbunge.
Wegine nyote mmeshindwa.
Sumbawanga kuchele.
 
Naweka kumbukumbu sawa.
Mie sio mwanachadema.
Mie mwanachadema kindakindaki.
Huku kwetu Sumbawanga tumefanikiwa kusimika mbunge.
Wegine nyote mmeshindwa.
Sumbawanga kuchele.
Hatujashindwa, tumelazimishwa kushindwa kwa mtutu wa bunduki, virungu vya Mambosasa, na maigizo ya NEC.

Huko Sumbawanga hamkuwa active sana ndio maana hawakuwabana vizuri, wakajisahau mkawaotea.
 
Watanzania kwa mikwara huwawezi. JPM alipochukua madaraka 2015 (Awamu ya 5) wengi walitegemea angeshindwa kuongoza nchi kwa sababu JMK alifilisi hazina. Kulikuwa kutupu, nchi ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi. Wapiga dili walishamiri, maduka ya walanguzi wa pesa kila mtaa, Serikali ilikuwa inafanya biashara na pesa zake kwa viongozi wachache wa juu wakifaidika peke yao.

Miaka mitano baadaye Tanzania imebadilika uchumi unakuwa kwa kasi, mahospitali ya mikoa na wilaya pamoja na shule kuimarika, wanafunzi hawana kero tena ya maandamano, maji yanapatikana, barabara na miundo mbinu imeimarishwa miradi ya kimkakati inaendelea pamoja na kubwa zaidi la kuweza kufadhili uchaguzi wetu wenyewe. Hijawahi kutokea, hata Yesu, Thomas alimkana. Tanzania ni nchi ya kwanza within SADC pamoja na EAC kuweza kuwa na reserve (import cover ya miezi 6).

Awamu ya 6 inaanza Thomases wameanza tena na hadithi zao kama za kina Bulicheka au Pwagu na Pwaguzi. Haitawezekana miradi yote hii kufanyika katika awamu hii.

Mwacheni JPM aiendeleze nchi, nyinyi marafiki zenu walikuwa wezi wanakula bila kunawa mikono na kuwaibia raia masikini wa Tanzania. Walichofahamu ni kuuza mashirika ya umma, kubinafisha mashirika yetu ambayo tuliwekeza kwa miaka kadhaa na kuyaua kabisa. Kutembea nchi za wenzetu kama wamepagawa vile. Awamu ya 6 JPM
will deliver without a shadow of a doubt.
 
Back
Top Bottom