Mwelekeo wa Mnyika hautaweza kubadili chochote pale CHADEMA

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
1578900397776.png


Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani
 
View attachment 1321416



Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani

View attachment 1321416
na mwelekeo wa BASHIRU vipi.. unauonaje.. katibu anakwenda kulia M/kiti kapinda SHOTO aheri ya MNYIKA yupo kwenye chama chenye kujielewa chama kilichoifanya FISIEM ikajaza vichaa asilimia kubwa FISIEM wamekuwa machizi sababu ya CHADEMA inavokwenda kisayansi. na ndio maana FISIEM kwa CHADEMA imekwama ilizani ni sawa na vile vyama ilivyoweza kuviburuza na sasa kinaburuzwa chenyewe uthibitisho wa hili hebu angalia asilimia kubwa sasahivi FISIEM inategemea kupora vijana wenye akili kutoka chadema na kuwapa madaraka ili wawasaidie kuendesha serikali wakati huku kuna vilaza wafia chama wa fisiem wapo miaka nenda rudi hata ujumbe wa nyumba kumi hawajapewa.
 
Kijana kaanza kwa pupa sana ,ana ghubu na sononeko la chuki nafsini mwake hiyo ni ishara pekee ya watanzania kumuepuka na kuchukulia matamko yake kama chanzo Cha chuki katika jamii iliyostaarabika.

Ajenda yake kubwa ni kudili na CCM kama adui bila kujua siasa za chuki, uadui, fitina ni siasa zilizokosa nafasi kwenye dunia ya leo ya wastaarabu. Watanzania wote wanajua maadui wakubwa wa Tanzania ni umaskini, ujinga na maradhi.

Kijana hajifunzi kutoka kwa watangulizi wake, namna walivyoanza kwa pupa kufakamia fupa kama fisi na mwisho wakaliacha kwa uchu. See
 
Katibu Mkuu asipofanya press ataambiwa yupo kimya, akifanya, anafanya nyingi mno... mtu hata hajamaliza miezi mitatu kwenye majukumu yake mmeshaanza kutoa conclusion!, mnadhani ni malaika huyo? apewe muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na mwelekeo wa BASHIRU vipi.. unauonaje.. katibu anakwenda kulia M/kiti kapinda SHOTO aheri ya MNYIKA yupo kwenye chama chenye kujielewa chama kilichoifanya FISIEM ikajaza vichaa asilimia kubwa FISIEM wamekuwa machizi sababu ya CHADEMA inavokwenda kisayansi. na ndio maana FISIEM kwa CHADEMA imekwama ilizani ni sawa na vile vyama ilivyoweza kuviburuza na sasa kinaburuzwa chenyewe uthibitisho wa hili hebu angalia asilimia kubwa sasahivi FISIEM inategemea kupora vijana wenye akili kutoka chadema na kuwapa madaraka ili wawasaidie kuendesha serikali wakati huku kuna vilaza wafia chama wa fisiem wapo miaka nenda rudi hata ujumbe wa nyumba kumi hawajapewa.
Umeandika utumbo tupu fisiemu ndio Nini?chuki humuua mtu mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo mambo ya siasa siyajui sana ila sidhani kma kuna chama kinaweza kuweka mikakati yake hadharani tena mbele ya CCM yaani CDM waanikie wagombea wao wapya, wanajipangaje kukabiliana na wizi wa kura hadharani sasa hio itakua mikakati au public announcement? kuna mambo ya kuongea nje na mambo ya ndani
View attachment 1321416

Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1321416

Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani
Unajua kuongoza na ulishakuwa na cheo level ya Mnyika? Uongozi si kuandika uongozi ni kuongoza. Jaribu kuliko kuandika
 
Kijana kaanza kwa pupa sana ,ana ghubu na sononeko la chuki nafsini mwake hiyo ni ishara pekee ya watanzania kumuepuka na kuchukulia matamko yake kama chanzo Cha chuki katika jamii iliyostaarabika.

Ajenda yake kubwa ni kudili na CCM kama adui bila kujua siasa za chuki, uadui, fitina ni siasa zilizokosa nafasi kwenye dunia ya leo ya wastaarabu. Watanzania wote wanajua maadui wakubwa wa Tanzania ni umaskini, ujinga na maradhi.

Kijana hajifunzi kutoka kwa watangulizi wake, namna walivyoanza kwa pupa kufakamia fupa kama fisi na mwisho wakaliacha kwa uchu. See
Na Fisiem kila siku inadeal na Chadema. Akutie kidole machoni ni mchokozi pambana naye kisawia
 
View attachment 1321416

Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani
Unachosema ni kweli na baadhi ya viongozi ushujaa wao ni kuikosoa CCM. Ni sawa, CCM inaweza kuwa ni mbovu, dhaifu na hovyo, nk. lakini je, ubovu wa CCM ndo unakufanya wewe uwe bora? Au wote ninyi ni wabovu na huenda ni wabovu kuliko CCM? Ni kupoteza muda kuwa na katibu ambaye kila wakati ni kutoa hotuba. Katibu ni technical person wa chama badala ya kuwa mtoa hotuba, ajikite kwenye kubuni strategies. Yeye kila siku ni kutoa matamko.
 
View attachment 1321416

Na Thadei Ole Mushi

Kwa Muda Mfupi niliowapima viongozi wapya wa Chadema hasa Katibu Mkuu na wenyeviti wa Kanda mbalimbali nimeona mambo makuu yafuayayo. Pamoja wingi wa press ila anaongea vitu vyepesi sana. Jana nimemsikia akisema sijui CCM inaogopa Rangi nyekundu na blah blah kibao.

1. Katibu Mkuu anafanya press nyingi mno ambazo hazina maana. Matokeo yake anayoyazungumza hayawi viral wala hayabadili mwelekeo wa kisiasa ambao upo.

2. Anakitoa Chama Kwenye mikakati na mipango anakirudisha chama Kwenye harakati. Kila akizungumza analalamika haonyeshi Mipango yaani Plan B ya alipokikuta chama ni wapi.

3. Mkakati wa wenyeviti wa kanda kuitisha press una maana nimevutiwa zaidi na press ya kanda ya Ziwa ya Wenje. At least unasikia hoja ndani yake. Press kama zile zenye hoja, data, na facts ni Sumu kwa CCM na Dola yake. Lakini press za kukitishia CCM hazikuwahi kufanikiwa kamwe kwa kuwa ndani ya CCM kuna mifumo yenye Misuli kuliko Chadema. Nimemsikiliza mfano Nyalandu anaongea utafikiri anaoga njee hakuna lolote LA Msingi analoliongelea. Kuitisha press imekuwa fashion watu wameanza kuzoea.

4. Nilitarajia Katibu Mkuu aje na mkakati mkubwa wa Katiba na tume huru maana Chadema ndio waathirika wakuu wa mambo hayo mawili. Matokeo yake namuona akivishwa uchifu huko mwanza nk.

5. Nilidhani viongozi hawa watajikita kufanya Assessment ya majimbo yote wanayoongoza kujua ni mangapi wanayoweza kuyalinda. Kuna hatari kubwa upinzani ukapoteza majimbo mengi 2020. Je ni majimbo gani ambayo wataweza kuyalinda? Ni majimbo gani ambayo CCM wanayawinda? Mbinu za kuyalinda ni zipi nk haya ndiyo mambo ya msingi ya kujadili. Naona wametoka mapema sana baada ya kuchaguliwa.

6. Nilidhani ni wakati muafaka wa kuanza kuscreen vijana wapya ambao watagombea maneneo mbalimbali. Ndani ya wabunge walionao kuna waliochoka na ambao hawataweza tena kugombea je eneo hili Katibu mkuu kajipangaje?
CCM sio wepesi kama Mnyika anavyofikiria, na kakabidhiwa chama katika wakati mgumu haswa ambao unahitaji akili kubwa na ya ziada. Namuona kama iliyopo mbele yake hajaijua kwa kiasi kikubwa. Hata ni baadhi ya maeneo tu kati ya maeneo Mengi ya kimkakati nineonyesha.

Siasa za harakati zimeshapitwa na wakati Tanzania. Karibuni jalalani

Mambo uliyopendekeza Mnyika kuyafanya hayahitaji press conference. Hayo ni mambo ya ndani ya wenye chama na strategists wao. Uliyoyasikia ndio saizi yako mkuu.
 
Japo mambo ya siasa siyajui sana ila sidhani kma kuna chama kinaweza kuweka mikakati yake hadharani tena mbele ya CCM yaani CDM waanikie wagombea wao wapya, wanajipangaje kukabiliana na wizi wa kura hadharani sasa hio itakua mikakati au public announcement? kuna mambo ya kuongea nje na mambo ya ndani

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu anajisifia eti kafanya uchambuzi!
 
Back
Top Bottom