Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwekinyekiti wa Halmashauri ya Meru Wily Joseph Njau pamoja na Mdogo wake wamepata ajali wakiwa njiani kuelekea hospital ya Kcmc kumjulia hali Baba yao aliyelazwa hospitalini hapo.
Ajali hiyo imetokea maeneo ya njia panda ya masama baada ya kugongana na Gari aina ya hilax akiwa na Gari ndogo.
Nimeongea na Mhe Njau kwa simu ameniambia anaendele vizuri ila amevunjika vidole 3 Vya mkono na majeraa madogo madogo wote wanaendelea na matibabu hospital ya Kcmc
Tunaendelea kuwaombea majeruhi ili Mungu awape wepesi waendelee na shunguli za ujenzi wa Taifa
July Ayo
Ajali hiyo imetokea maeneo ya njia panda ya masama baada ya kugongana na Gari aina ya hilax akiwa na Gari ndogo.
Nimeongea na Mhe Njau kwa simu ameniambia anaendele vizuri ila amevunjika vidole 3 Vya mkono na majeraa madogo madogo wote wanaendelea na matibabu hospital ya Kcmc
Tunaendelea kuwaombea majeruhi ili Mungu awape wepesi waendelee na shunguli za ujenzi wa Taifa
July Ayo