JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
..serikali inapaswa kuwa makini na hawa wawekezaji wa KICHINA.
..Wachina wa sasa hivi siyo wale waliojenga Tazara enzi za Mwenyekiti Mao na Waziri Mkuu Chou En Lai.
..pesa zao hazina masharti ya UTAWALA BORA, lakini zina masharti mengine ya kihuni kweli kweli.
..hebu fikiria masharti waliyokuja nayo ili ku-finance terminal 3 uwanja wa ndege DSM.
..halafu kujenga gati # 13 na # 14 bandari ya DSM walitaka wapewe bandari ya Mtwara kwa muda usiojulikana.
habari nzima inapatikana kwenye magazeti ya IPP.
..Wachina wa sasa hivi siyo wale waliojenga Tazara enzi za Mwenyekiti Mao na Waziri Mkuu Chou En Lai.
..pesa zao hazina masharti ya UTAWALA BORA, lakini zina masharti mengine ya kihuni kweli kweli.
..hebu fikiria masharti waliyokuja nayo ili ku-finance terminal 3 uwanja wa ndege DSM.
..halafu kujenga gati # 13 na # 14 bandari ya DSM walitaka wapewe bandari ya Mtwara kwa muda usiojulikana.
Florian Kaijage @ippmedia said:On October 23, 2011 this paper reported exclusively that the Terminal III project had reverted to the drawing board after an initially agreed Chinese firm to finance the work collapsed.
The company, China International Fund Limited had offered to finance the project, which the company would supply without government participation, with a negotiable mode of payment.
The deal stuck when the Chinese company opting for barter methods of exchange for the construction work, expressed its preference for allocation of a zone with potentiality for a strategic mineral.
This paper came to establish mid this year that the said zone was the Williamson Diamond mine located at Mwadui in Shinyanga, about 200 kilometers south of Lake Victoria.
The mine is co-owned by a Dutch company, Petra Diamond, with its Africa operations office in South Africa (with 75 percent shares) and the government (25 percent).
This condition was also related to the proposed investment by Sonangol in the much troubled Air Tanzania Company Limited (ATCL) that never materialised.
habari nzima inapatikana kwenye magazeti ya IPP.