Mwekezaji ktk mashamba Wilaya ya Hai aanguka na kufa wkt akitoa maelezo.

matongo manawa

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
336
79
Katika tukio la kushtua mwekezaji mmoja huko Wilayani Hai aliyefahamika kwa jina la Mushi ambaye alikuwa anamiliki shamba kubwa la takiribani eka Mia tano,ameanguka na kupoteza maisha hapohapo wkt akihojiwa na kikosi maalum cha wanasheria na maafisa ushirika kutoka wizara ya kilimo na ushirika.
Umauti pale alipotakiwa kuonesha mpango kazi alionao kuhusu shamba hilo,yeye amaze a anao na akafuata karatasi zake garini Kumbe maskini!Aliporudi na kukabidhi karatasi hizo alikuwa anatetemeka akaanguka na kufa hapohapo.
Habari zinasema kuwa alikwa na matatizo ya kuanguka muda mrefu.
 
RIP....sasa hilo shamba si lirudishwe kwa wananchi....???? au bado tunamtafuta mbinafsishaji mwingine????
 
Mungu akurehemu mpiganaji Mushi, mimi mrdash1 mmilki wa shamba ha 300 najua machungu uliyoyapitia, hao maofisa wa wizara kazi zao ni kutafuta tu wapi pa kufisadi malipo yao yatawafuata. RIP
 
Mungu akurehemu mpiganaji Mushi, mimi mrdash1 mmilki wa shamba ha 300 najua machungu uliyoyapitia, hao maofisa wa wizara kazi zao ni kutafuta tu wapi pa kufisadi malipo yao yatawafuata. RIP
Mkuu maafisa wa wizara walitumwa na wizara kwenda kutafuta ukweli baada ya malalamiko ya wananchi kwa serikali kuwa mwekezaji huyo alikuwa halitumii shamba lote hivyo serikali ilichukue na kuwagawia wananchi.
 
Ichunguzeni microphone aliyoitumia marehemu kabla hajaaga dunia; je alikua aliitumia yeye tu au hata na wajumbe wengine wa kikao hicho?
 
It's a tragic event! Plz mwenye habari zaidi za kina juu ya afya & umiliki atujuze. Poleni wafiwa.
 
Ichunguzeni microphone aliyoitumia marehemu kabla hajaaga dunia; je alikua aliitumia yeye tu au hata na wajumbe wengine wa kikao hicho?
Mkuu ilikuwa eneo la tukio yaani shambani kwa marehemu ambako wataalam walienda kuliona shamba kwa macho badala ya kufanyia kazi Dar,hakukuwa na mic,
 
Safi sana, sala za wananchi wanyonge zimefika kwa Mungu, nae Mungu amejibu... Ingetokea kwa chekacheka pia... Ningefurahi sana....
 
habari imekuja nusu nusu leta jina halisi maana Mushi ni wengi

waliowekeza ktk mashamba makubwa na jina la shamba lenyewe
 
kwa hiyo amekufa ameacha shamba la heka 500.? Dah kweli ufisadi mbaya.!!
 
Je huyu ni yule aliyekuwa anamiliki Gararagua farm kule Sanya Juu? He was my friend jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom