Mweka hazina wa CHADEMA aisifia serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar

Hawa jamaa ni vigeu geu sana,wapo kimaslahi zaidi na sio utaifa
 
Kumbe walianzisha wao,sasa kwanini wanaona wivu au kwa kuwa znz hakuna chadema
 
Achani unafiki chadema munakumbuka haya ?
Nimeamini Ukweli ukidhihiri Uongo Ujitenga, Leo asubuhi katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC Mhe. Anton Kom Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema ambaye pia ni Mjumbe wa TCD [SUP][SUB]akiwaeleza [/SUB][/SUP]watanzania ujio wa wajumbe wa nchi tatu za Afrika (Msumbiji, Uganda na Zambia) kuja kubadilishana uzoefu kupitia TCD ambayo inaundwa na vyama vyenye wabunge Bungeni hap
a Tanzania (CCM, Chadema, CUF, TLP, UDP na NCCR - Mageuzi). Mwandishi wa Habari alimuuliza swali Mhe. Anton Kom ni manufaa gani mmeyapata kupitia TCD, kwa mshangao mkubwa na sikuamini kauli niliyoisikia kutoka kinywani kwa Anton Kom - Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema kwa kusema moja kati ya mafanikio ya TCD ni uwepo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani TCD walisimama kwa pamoja wakati huo TCD ikiundwa na CCM, Chadema, CUF na UDP tena wakati TCD ikiongozwa na Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe akiwa mwenyekiti walikwenda kwa wazanzibar kuwaambia wapige kura ya ndio kuunga mkono mabadiliko ya katiba ya Zanzibar kwa lengo la kuruhusu uwepo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na kufanikiwa katika kuwahamasisha Wanzazibar na baada ya uchaguzi Mkuu wa 2010 Zanzibar iliundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa..

SOURCE; KIPINDI CHA JAMBOLEO ASUBUHI NA FACEBOOK PAGE YA ABUBAKARI KITOGO

MY TAKE; tuwe tuna appreciate mazuri yanayofanywa na wale tunaopingana nao
 
Last edited by a moderator:
Achane unafiki chadema munakumbuka hii siku ? Mulikuwa mukiikana serikali ya umoja wa kitaifa,mumewaona cuf ni wanafiki na sio wapinzani tena ?
Nimeamini Ukweli ukidhihiri Uongo Ujitenga, Leo asubuhi katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC Mhe. Anton Kom Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema ambaye pia ni Mjumbe wa TCD [SUP][SUB]akiwaeleza [/SUB][/SUP]watanzania ujio wa wajumbe wa nchi tatu za Afrika (Msumbiji, Uganda na Zambia) kuja kubadilishana uzoefu kupitia TCD ambayo inaundwa na vyama vyenye wabunge Bungeni hap
a Tanzania (CCM, Chadema, CUF, TLP, UDP na NCCR - Mageuzi). Mwandishi wa Habari alimuuliza swali Mhe. Anton Kom ni manufaa gani mmeyapata kupitia TCD, kwa mshangao mkubwa na sikuamini kauli niliyoisikia kutoka kinywani kwa Anton Kom - Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema kwa kusema moja kati ya mafanikio ya TCD ni uwepo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani TCD walisimama kwa pamoja wakati huo TCD ikiundwa na CCM, Chadema, CUF na UDP tena wakati TCD ikiongozwa na Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe akiwa mwenyekiti walikwenda kwa wazanzibar kuwaambia wapige kura ya ndio kuunga mkono mabadiliko ya katiba ya Zanzibar kwa lengo la kuruhusu uwepo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na kufanikiwa katika kuwahamasisha Wanzazibar na baada ya uchaguzi Mkuu wa 2010 Zanzibar iliundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa..

SOURCE; KIPINDI CHA JAMBOLEO ASUBUHI NA FACEBOOK PAGE YA ABUBAKARI KITOGO

MY TAKE; tuwe tuna appreciate mazuri yanayofanywa na wale tunaopingana nao
 
Last edited by a moderator:
Sekretarieti mpya inajitahidi kushambulia kwenye mitandao ya jamii.. Tatizo liko pale pale.. Mmeoza mpaka nywele.. Hata miracles haiwezi kuwaokoa toka kwenye tsunami hii mliojitengenezea..

Tatizo wanatuma vijana na watu wazima wasiojua kujenga hoja.Na waje tutawaumbua tu
 
Tatizo wanatuma vijana na watu wazima wasiojua kujenga hoja.Na waje tutawaumbua tu

unamkana antony komu aliekuwa anaongea kwenye tbc na dunia nzima imemuona?tupingane kwa hoja sio kwa matusi, au magwanda yametota
 
Aliekuwa anaongea ni kiongozi mkuu wa chadema na ameongea kwa kujiamini kwamba serikali ya umoja wa kitaifa ni matokeo ya mawazo ya tcd wakati huo ikiwa chini ya mwenyekiti wa chadema freeman mbowe.,pingeni au kanusheni hoja hii acheni kejeli beni saa nane na kampani yako.
 
Last edited by a moderator:
Mnapokuwa kwenye kikao cha ndani, kuna uwezekano wa kuwapo misimamo tofauti, lakini msemaji wa kikao anatakiwa aseme kile ambacho ndio maazimio ya kikao, hata kama yeye (msemaji) alikuwa miongoni mwa walioipinga hoja alipokuwa katika kikao. Komu ameongea kama mjumbe wa TCD na si kama mtunza fedha wa CDM. Ndio maana hata Mrema alipopingana na maamuzi ya baraza la mawaziri katika public (wakati yeye ni member wa baraza hilo) ilikuwa lazima either afukuzwe au ajiuzuru uwaziri. Vivyo hivyo kwa Komu anatakiwa atekeleze misimamo ya TCD anapoongea kama mjumbe wa TCD, otherwise ajiondoe huko!
majibu ya hoja ya mada husika ndio yako hapa na sitii neno zaidi
 
Nimeamini watanzania bado uwelewa wetu unastajabisha sana, tumekuwa hatujadili hoja bali tumeweka ushabiki mbele, viongozi wa Chadema kuwadanganya watanzania je wanaagenda gani na kwa maslahi ya nani. wao walitaka wanzanzibar wauwane kila kipindi cha uchaguzi. Katiba ya Zanzibar ndio msingi wa serikali iliyopo hakuna kuolewa kwa mtu pale, hakuna CCM B eti CDM ina wasomi na wanasheria wasiojuwa sheria na pia hawataki kuheshimu Katiba Demokrasia ya wapi kuwaongopea wananchi Chadema ni hatari kwa mustakabali wa nchi Zinduka Mtanzania
 
Nimeamini watanzania bado uwelewa wetu unastajabisha sana, tumekuwa hatujadili hoja bali tumeweka ushabiki mbele, viongozi wa Chadema kuwadanganya watanzania je wanaagenda gani na kwa maslahi ya nani. wao walitaka wanzanzibar wauwane kila kipindi cha uchaguzi. Katiba ya Zanzibar ndio msingi wa serikali iliyopo hakuna kuolewa kwa mtu pale, hakuna CCM B eti CDM ina wasomi na wanasheria wasiojuwa sheria na pia hawataki kuheshimu Katiba Demokrasia ya wapi kuwaongopea wananchi Chadema ni hatari kwa mustakabali wa nchi Zinduka Mtanzania

i love you man,,,,, umeongea maneno ya ukweli.
 
Back
Top Bottom