gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 636
- 811
Njia niyoona inaweza sana kupunguza vifo au kuondoa kabisa vifo nashauri abiria wote kwenye bus wawe wanavaa helment ngumu wote sio hizi za kichina ambazo hata ukiipiga ngumi tu inapasuka
Ushauri huu unaweza kuonekana wa kijinga lakini ndio njia pekee ya kupunguza kama sio kuondoa kabisa vifo
Ajari ikitokea mara nyingi watu wengi hufariki kutokana na kuumia kichwabi. Abiria wote wakifunga mikanda na kuvaa helment naamini vifo vinaweza kupungua sana.Kila bus litatakiwa kuwa na helment idadi ya abiria.
Nimesikitika sana ajali ya bus la super feo leo kijana mmoja ameumia sana kichwani.
Kamanda Mohamed Mpinga chukua huo ushauri ndio mwarubaini wa vifo kwenye ajari.
Ushauri huu unaweza kuonekana wa kijinga lakini ndio njia pekee ya kupunguza kama sio kuondoa kabisa vifo
Ajari ikitokea mara nyingi watu wengi hufariki kutokana na kuumia kichwabi. Abiria wote wakifunga mikanda na kuvaa helment naamini vifo vinaweza kupungua sana.Kila bus litatakiwa kuwa na helment idadi ya abiria.
Nimesikitika sana ajali ya bus la super feo leo kijana mmoja ameumia sana kichwani.
Kamanda Mohamed Mpinga chukua huo ushauri ndio mwarubaini wa vifo kwenye ajari.