Hii picha unanikumbuka Huyo mrembo wa kimasai wa pili kutoka kushoto Roho yangu ilivyomudondokea miguuni kwake.Baadhi ya kinamama wa jamii ya Kimasai, wakitoa ujumbe wao wakati wa Tamasha la Kijinsia lililoandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Dar es salaam jana.
source: gazeti Majira