GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,488
- 1,686
Nashukuru nishakaribia na nilishaanza kufanyia kazi. Ila nakwama njiani. Kila nikimeditate Kwa kufumba macho na kusikiliza pumzi naona kama mawingu meusi na nyota kwa mbali ikiwa na mwanga hafifu, kwa mda mfupi tu alafu vinatoweka.
Nishaona kama mara tatu kwa siku tofauti. Na baada ya hapo huwa siwezi kwendelea na meditation. Naomba unipe ufafanuzi ni nini hicho na nifanyeje nisonge mbele.
Natanguliza shukurani mkuu.