hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Tutaweza?Na sie tutawasusia apple lao huku uchina. Marufuku kutumia ushenzi wowote wa apple!
Growing Brands kibao why tushindwe
Kampuni zote ambazo ma CEO wanatoka marekani iwe FB, Microsoft na vifaa vyote vinavyotoka marekani Mmarekani anaingia na kutoka Kama Mimi na wewe tunavyoingia msalani,kila leo wanapekua data za watu akina NSA,CIA,FBI nk sasa mchina nae akitengeneza nae anaweka mlango wake maana siku hizi mchina ndio kateka soko Hilo so bifu zinakuwa zimetokea hukoHilo nalo neno.
Wamarekani walizoea kuiba data za wenzao, wao wameanza kuibiwa wana mind. Watulie tu
Teh teh mkuu punguza mahaba unapo fatilia habari jalibu kufatila deep.Wachina hawapo vizuri katika swala zima la ugunduzi labda katika ununuzi wa teknolojia.usisahau lile ni soko kubwa dunianiMmarekani amepagawa baada ya kusikia jamaa wanakuja na project ya 5G ...Manina wana takaga vitu vizuri wagundue wao tu .... mbona wao wenyewe wana dukua taarifa zetu kwa kupitia google FB .na platforms zote za mitandao ya kijamii ila hatusemi !
Sent using Jamii Forums mobile app
Usi sahau internet waligundua wao so wana uelewa mpana juu ya hilo.Kampuni zote ambazo ma CEO wanatoka marekani iwe FB, Microsoft na vifaa vyote vinavyotoka marekani Mmarekani anaingia na kutoka Kama Mimi na wewe tunavyoingia msalani,kila leo wanapekua data za watu akina NSA,CIA,FBI nk sasa mchina nae akitengeneza nae anaweka mlango wake maana siku hizi mchina ndio kateka soko Hilo so bifu zinakuwa zimetokea huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kugundua kitu haimaanishi watu hawako huru ku modify kitu ulicho gundua,kwani hizi bombardier tunazopanda leo ndio zile walizo gundua Wright brothers?Usi sahau internet waligundua wao so wana uelewa mpana juu ya hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah
Ni kweli mkuu.lakin tunaona jamaa wapo mbaliKugundua kitu haimaanishi watu hawako huru ku modify kitu ulicho gundua,kwani hizi bombardier tunazopanda leo ndio zile walizo gundua Wright brothers?
Sent using Jamii Forums mobile app