Mwanzilishi wa apple afariki dunia. Mastaa kibao wamlilia.. Ungana nami uone wanasemaje!

UNADHANI KIFO CHA STEVE JOBS KITAATHIRI UTENDAJI WA KAMPUNI YA APPLE?


  • Total voters
    7
  • Poll closed .

jozzb

Member
Jun 30, 2011
87
20
8.jpg
Mwanzilishi wa kampuni ya Apple Steve Jobs amefariki dunia leo baada ya kupambana na ugonjwa wa saratani na hatimaye kusalimu amri kwa miaka minane. Rambirambi kibao zimeanza kumiminika dakika chache baada ya .
KWA HABARI ZAIDI, <<BOFYA HAPA>>
 
8.jpg
Mwanzilishi wa kampuni ya Apple Steve Jobs amefariki dunia leo baada ya kupambana na ugonjwa wa saratani na hatimaye kusalimu amri kwa miaka minane. Rambirambi kibao zimeanza kumiminika dakika chache baada ya .
KWA HABARI ZAIDI, <<BOFYA HAPA>>

Ninyi watu mna matatizo makubwa sana.Hivi wewe kama mtanzania inakusaidia nini.Badala ya kuleta mijadala inayoweza kusaidia nchi yetu unaleta upuuzi huu.Ovyoo.
 
Ninyi watu mna matatizo makubwa sana.Hivi wewe kama mtanzania inakusaidia nini.Badala ya kuleta mijadala inayoweza kusaidia nchi yetu unaleta upuuzi huu.Ovyoo.

kila kitu kina nafasi yake.laiti ungejua usingethubutu kuandika hayo. Nashindwa namna ya kukusaidia.ila nadhani ni heri basi kila mmoja abaki na uelewa wake
mimi binafsi namkumbuka kwa yafuatayo

1 kuanzishwa kwa mac computer

2. Ipod,itune na vingine vingi


>>> heri huyu alieanzisha vitu kama hivi kuliko mtanzania fisadi
 
Back
Top Bottom