TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
mkuu we nae kumbe una matatizo kichwani, kwani umeshindwa kujua kuwa Raisi iyo ziara Ni maalum kwajili ya kuongea na vijana,??? Sasa Kuna tatizo gani akiwaasa vijana kuwa nini Cha kufanya ili na wao waondokane na umasikiniView attachment 1817303
Mama ameyumba. Kama wanapigwa Serikali iwakopeshe. Hiyo ni biashara huru kabisa. Inazingatia negotiation power