Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Sitashangaa hii kesi kufika hadi mwaka 2021 na washtakiwa wakaishiwa kufutiwa kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
GENTAMYCINE kuna watu huku wanakutafuta wana hamu ya kutambaliziwaGenta ni mtu mkubwa sana hapa JF
Ni fahari sana majina yetu yakitajwa pamoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi wetu wamekuwa kero sana kwa kweli,huku mtaani kwetu wameua mtu katika mazingira ya kutatanisha,lakini mpata leo sioni kinachoendelea.N kama wanajiona wako untouchable hivii.Jeshi la polisi linahitaji complete overhawl kama ilivyofanyika 1974.Cosmetic changes zinazofanyika kwa sasa hazitatusaidia sana.
Wewe una huruma mimi maamuzi ya Rais Durtete yangetumika ili wengine wasijaribu mileleMbona hata kupelekwa mahakamani ni kuheshimu utawala wa sheria..watu wamekutwa na dhahabu na hela cash..na hao waliowasindikiza ambao wametumia mali za serikali kujinufaisha..ningekua mm hata mahakamani wasingepita wangenyooka magereza tu tena baada ya kuwatemesha mzigo wote waliochukua
Paul Alex, hebu tulia kidogo mkuu. Jibu kama hili uliloandika hapo juu linasikitisha sana.Hata ingekua wewe unaishi kwenye nyumba za mabati za msongamano na kazi ni ya jaramba kama unavyoifahamu na mshahara ukiingia nao baa asubuhi haufiki saa nne.... kwanini usivute mpunga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Paul Alex, hebu tulia kidogo mkuu. Jibu kama hili uliloandika hapo juu linasikitisha sana.
Hapana, sijaona chochote cha kunifanya niwe na wasiwasi unayoionyesha wewe!
Mkuu umefuatilia hili sakata toka mwanzo lakini?Hapana, sijaona chochote cha kunifanya niwe na wasiwasi unayoionyesha wewe!
Nimeyaona yote yaliyosemwa toka mwanzo, lakini mimi na wewe hatuna taarifa halisi itakavyotolewa mahakamani. Tuvute subira.
Kufia uwanja wa mapambano ni ushujaaMwanza. Watu 12 wakiwemo askari polisi wanane watapandishwa kizimbani muda wowote leo Ijumaa Januari 11, 2019 katika mahakama ya hakimu mkazi Mwanza.
Wamefikishwa mahakamani hapo leo na wanasubiri kupandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka yanayowakabili.
Watu hao wanadaiwa kuhusika na tukio la kusafirisha shehena ya dhahabu kilo 323.6 na fedha taslimu Sh305 milioni kutoka mkoani Mwanza kuelekea Geita.
Wanashikiliwa na polisi tangu tukio hilo lilipotokea Januari 5, 2019.
Askari watakaopandishwa kizimbani leo walitajw ana Rais John Magufuli siku mbili zilizopita kuwa wanadaiwa kuhusika katika tukio hilo, kuwasaidia wahusika kufanikisha kusafirisha shehena hiyo.
Chanzo: Mwananchi
=====
WALIODAIWA KUTOROSHA DHAHABU WAFIKISHWA MAHAKAMANI: Watuhumiwa 12 wa utoroshaji wa Dhahabu waliokamatwa hivi karibuni wamefikishwa mahakamani alasiri hii wakiwemo askari wanane (8) waliokamata dhahabu hiyo.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu mkazi wa Mkoa wa Mwanza huku wakikabiliwa na makosa Saba (7).
Safi sana mheshimiwa raisi wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,hakika ww ni raisi wa wanyonge!
Fake story katibu na rocky city mall upande upi wakati pande zote zi na majumba ya watu acha uongo weweMwaka jana mda kama saa tatu usiku napita zangu karibu na rock city mall sina hili wala lile nastuakia napigwa jeki,sitatulia vzr nipo kwenye tenga,askari kama wawili wana sachi mifuko eti sijui wanatafuta bangi,utadhani waliambiwa mm ndo muuzaji halafu watu kibao wana sachiwa lakn badala watafute bangi wanaondoka na vyote vilivyo kwenye mifuko ya suruali.
Noma sana ila niliongea na kujitambulisha kwa mkubwa wao ndo nikaachiwa ila sikupata vitu vyangu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Moderator ningeomba uzi huu uonganishwe na ule nlioanzisha (siku tatu zilizopita) kuhusu askari hawa kukamatwa na kuchunguzwa. Ili uwe muendelezo wake.
Askari Polisi waliokamata dhahabu wachunguzwa - JamiiForums
Shukrani,