Mwanza: Walimu wadaiwa kuhamishwa kwa nguvu

Nasema wangeondolewa uchi ili huenda 2025 akili zao zingekuwa active na sio kuwaza ukhanithini wa matumbo yao na vijiposho uchwara.
 
Walimu wahamishwa kwa nguvu Mwanza
-
Halmshauri ya Jiji la Mwanza imewahamisha kwa nguvu kwenye nyumba walizokuwa wanakaa walimu wanne wa shule za sekondari Mlimani, Mapango na Pamba za Jiji hilo ili kupisha ukarabati unaotekelezwa na Serikali.

Zoezi la kuwaondoa walimu hao kwenye nyumba hizo limefanyika baada ya kukataa kuhama kwa hiari na kudai hawajalipwa fedha za kufunga mizigo.

Zoezi hilo limefanyika kwa kusimamiwa na askari mgambo.

Akisimamia zoezi hilo jana kwa niaba Mkurugenzi wa Jiji, Kiomoni Kibamba, Ofisa Mtendaji wa kata ya pamba, Jonas Mugisha amesema walimu hao wameondolewa kwa nguvu baada ya kukaidi amri ya kuhama kwa hiari kupisha ukarabati wa nyumba hizo.

Amesema walimu hao walipewa barua iliyokuwa ikiwataka kuhama kwenye nyumba hizo ili ziweze kukarabatiwa pamoja na shule hiyo kwani serikali imetowa Sh milioni 540.

Mmoja wa walimu hao, Abel Dendwa akizungumza kwa niaba ya walimu hao amesema inasikitisha kuona mfanyakazi wa umma anafanyiwa vitendo vya unyanyasaji nakwamba ni vema serikali ikaingilia kati suala hilo ili haki iweze kutendeka ikiwamo ya kulipwa fedha zao za kufunga mizigo.

Mtanzania
Acha waone mitano tena. Maana walishiriki kuiba kura. Hsmna jiwe litaacha kugeuzwa
 
Walimu wahamishwa kwa nguvu Mwanza
-
Halmshauri ya Jiji la Mwanza imewahamisha kwa nguvu kwenye nyumba walizokuwa wanakaa walimu wanne wa shule za sekondari Mlimani, Mapango na Pamba za Jiji hilo ili kupisha ukarabati unaotekelezwa na Serikali.

Zoezi la kuwaondoa walimu hao kwenye nyumba hizo limefanyika baada ya kukataa kuhama kwa hiari na kudai hawajalipwa fedha za kufunga mizigo.

Zoezi hilo limefanyika kwa kusimamiwa na askari mgambo.

Akisimamia zoezi hilo jana kwa niaba Mkurugenzi wa Jiji, Kiomoni Kibamba, Ofisa Mtendaji wa kata ya pamba, Jonas Mugisha amesema walimu hao wameondolewa kwa nguvu baada ya kukaidi amri ya kuhama kwa hiari kupisha ukarabati wa nyumba hizo.

Amesema walimu hao walipewa barua iliyokuwa ikiwataka kuhama kwenye nyumba hizo ili ziweze kukarabatiwa pamoja na shule hiyo kwani serikali imetowa Sh milioni 540.

Mmoja wa walimu hao, Abel Dendwa akizungumza kwa niaba ya walimu hao amesema inasikitisha kuona mfanyakazi wa umma anafanyiwa vitendo vya unyanyasaji nakwamba ni vema serikali ikaingilia kati suala hilo ili haki iweze kutendeka ikiwamo ya kulipwa fedha zao za kufunga mizigo.

Mtanzania
Safi sana, wachapwe na bakora kabisaaa
 
Kumbe wenzetu walimu mpaka kufunga mizigo mnalipwa na SERIKALI?

Kwa hiyo ulipiwe UKARABATI.

Na ulipiwe KUFUNGA MIZIGO?

Halafu serikali ilaumiwe.

Mkiachwa mlie kwamba mmetelekezwa kwenye magofu yenye popo lukuki.

ONLY IN TANZANIA.
 
Mitano teeeeenaaaaaaaa
Mnataka mtendewe haki wakati mlizuia haki ya watanzania ya kuchagua viongozi wanaowataka katika uchaguzi mkuu kwa ninyi waalimu kusimamia wizi wa kura?
Serikali ya “wanyonge” shurti kwa mtutu
Nyumba ilipokuwa mbovu mlisema ooh tunaishi nyumba za mkoloni,nyumba zimejaa mapopo na kunguni walimu hatuthaminiwi...hela imekuja ya ukarabati sasa ,kutoka hamtaki kupisha ukarabati, kufunga Tu mizigo yako yenyewe uhame Kwa mda na penyewe mpak ulipwe ....... Kimsingi Tu mlitakiwa mtolewe Kwa bakora za kutosha ....
Ccm watendeeni walimu mtakavyo hao ni wenu
 
Walipewa pesa za pango?
Walimu wahamishwa kwa nguvu Mwanza
-
Halmshauri ya Jiji la Mwanza imewahamisha kwa nguvu kwenye nyumba walizokuwa wanakaa walimu wanne wa shule za sekondari Mlimani, Mapango na Pamba za Jiji hilo ili kupisha ukarabati unaotekelezwa na Serikali.

Zoezi la kuwaondoa walimu hao kwenye nyumba hizo limefanyika baada ya kukataa kuhama kwa hiari na kudai hawajalipwa fedha za kufunga mizigo.

Zoezi hilo limefanyika kwa kusimamiwa na askari mgambo.

Akisimamia zoezi hilo jana kwa niaba Mkurugenzi wa Jiji, Kiomoni Kibamba, Ofisa Mtendaji wa kata ya pamba, Jonas Mugisha amesema walimu hao wameondolewa kwa nguvu baada ya kukaidi amri ya kuhama kwa hiari kupisha ukarabati wa nyumba hizo.

Amesema walimu hao walipewa barua iliyokuwa ikiwataka kuhama kwenye nyumba hizo ili ziweze kukarabatiwa pamoja na shule hiyo kwani serikali imetowa Sh milioni 540.

Mmoja wa walimu hao, Abel Dendwa akizungumza kwa niaba ya walimu hao amesema inasikitisha kuona mfanyakazi wa umma anafanyiwa vitendo vya unyanyasaji nakwamba ni vema serikali ikaingilia kati suala hilo ili haki iweze kutendeka ikiwamo ya kulipwa fedha zao za kufunga mizigo.

Mtanzania
 
Mitano teeeeenaaaaaaaa
Kuna taarifa Zingine za Kipunguani kwelikweli, Hivi hiyo Shule ina Waalimu wanne tu au Wapo Wengine ambao wamepanga mitaani.
Huu ni uzwazwa au Huyo Mwalimu ameweka Matunguli kwenye hiyo nyumba ili ailinde wenzake wasipate sehemu ya kuishi. Badala ya kushukuru angalau wewe katika maisha yako umekaa nyumba ya Serikali na umebahatika nyumba inaboreshwa na Siyo kwamba umefukuzwa unalalamika, Huyu Mwalimu anatakiwa ajitathimini itakuwa ni limbukeni wa Maisha.
Suala Jingine laajabu eti Fedha ya kufungia Mizigo kwani amehamishwa kituo cha kufanyia kazi. Huyo Mwalimu ni kama Wapangaji wengine mmiliki wa nyumba akitaka kufanyia marekebisho anakupatia taarifa ili ujiandae kuhama kwenye kipindi ambacho atakuwa anaifanyia marekebisho napo hakulazimishi urudi kwenye nyumba ileile pengine unaweza kuipata nyumba nzuri zaidi
 
Back
Top Bottom