Mwanza: Walimu na mgambo wakamatwa wakiiba mtihani wa darasa la saba

Omuzirambogo

JF-Expert Member
Feb 23, 2018
685
750
Habari zinazoenea kwa kasi ni kwamba mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Bulyahilu ya wilayani Buchosa Mwanza, pamoja na walimu watatu na mgambo wameiba mtihani wa Kiswahili, wakaufanya na kisha kuingiza majibu. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa mwanza Jonathani Shana amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
 
Habari zinazoenea kwa kasi ni kwamba mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Bulyahilu ya wilayani Buchosa Mwanza, pamoja na walimu watatu na mgambo wameiba mtihani wa Kiswahili, wakaufanya na kisha kuingiza majibu. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa mwanza Jonathani Shana amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Walimu ni wiki yao; wengine wanaua huko Kagera mala wahoji watoto wajinyoge yaani ni wao tu
 
Mleta breaking news umesahau fadhila za mkuu wako bila kukupa majibu mtihani wa La 7 sidhani kama Leo ungejua kuandika breaking news.

Wachome wenzio maana wew ulishatusua
SIKUWAHI KUANGALIZIA WALA KUSAIDIWA KATIKA MTIHANI WOWOTE NA NDIO MAANA NIPO NILIPO LEO
 
Kuna mwanafunzi akiwa comfortable aliwahi kuniambia kuwa "Kila shule lazima wanafunzi wapewe majibu na walimu wao kwenye mtihani wa darasa la 7'.
Nilishangaa sana kuona jambo la udanganyifu kwenye mitihani Tanzania ukihalalishwa kirahisi.
 
Shuleni Kwetu Wanafunzi wote tulichanga mayai Moja Moja ili waheshimiwe wapige Sosi la nguvu ... Nafikiri huwezi kunielewa
Unamaanisha wasimamizi mliwachangia mayai ili wawaachie mpige chabo na kisha kuwapa majibu pia ?
Kama ni kweli ninavyodhania mkuu basi kazi ipo!!!!
 
Hii wilaya ona shida, mwaka jana form four nyehunge sec wamefutiwa matokeo na maisome kwa wizi wa mitihani!!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom