Michael mbano JF-Expert Member Apr 4, 2022 820 567 Apr 10, 2022 #82 Karne said: Salamu za Mei mosi hizo! "Mama" hataki nidhamu ya uoga ya awamu ya tano. Click to expand... Hapo wa kulaumiwa si mhasibu tu,Kuna kamtandao hapo.Uchunguzi huru ufanyhke kujuwa kwanini hawajalipwa na walipwe.Kutembea kutwa inatesa.
Karne said: Salamu za Mei mosi hizo! "Mama" hataki nidhamu ya uoga ya awamu ya tano. Click to expand... Hapo wa kulaumiwa si mhasibu tu,Kuna kamtandao hapo.Uchunguzi huru ufanyhke kujuwa kwanini hawajalipwa na walipwe.Kutembea kutwa inatesa.
Gpili JF-Expert Member May 18, 2020 2,181 2,080 Apr 16, 2022 #83 Amkeni amkeni Tanga napo pesa zimepigwa zoezi watu hawajalipwa pesa zao za siku mbili tena wengine wamelipwa hadi 40000 kwa wiki
Amkeni amkeni Tanga napo pesa zimepigwa zoezi watu hawajalipwa pesa zao za siku mbili tena wengine wamelipwa hadi 40000 kwa wiki
Mwanakwetuuu JF-Expert Member Apr 8, 2022 1,011 2,270 Apr 16, 2022 #84 Vaeni t-shirt zilizoandikwa katiba mpya mtapewa fedha zenu haraka sana
Michael mbano JF-Expert Member Apr 4, 2022 820 567 Apr 17, 2022 #85 Jaman hawatoshek wasimamiz wa zoez had wawapge walalahoi wenzangu.?