n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Ajali hiyo imetokea muda si mrefu eneo la Buhongwa jijini Mwanza.
Walikuwa wakitokea Kwimba wakielekea Mwanza Mjini kuelekea kuchagua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza.
Magari yamegongana uso kwa uso (Coaster) na gari la mizigo... Dereva wa Coaster alokuwa amewabeba kafa palepale; wengine wameumia vibaya.
Uchaguzi huo wa CCM unafanyikia uwanja wa CCM Kirumba.
Habari hii pia imeandikwa hapa - Balaa CCM: Basi la wajumbe lapata ajali na kuua dereva | Fikra Pevu
Walikuwa wakitokea Kwimba wakielekea Mwanza Mjini kuelekea kuchagua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza.
Magari yamegongana uso kwa uso (Coaster) na gari la mizigo... Dereva wa Coaster alokuwa amewabeba kafa palepale; wengine wameumia vibaya.
Uchaguzi huo wa CCM unafanyikia uwanja wa CCM Kirumba.
Habari hii pia imeandikwa hapa - Balaa CCM: Basi la wajumbe lapata ajali na kuua dereva | Fikra Pevu