real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Wafanyabiashara wawili, Antonia Zacharia na Timoth Kilumile wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza, kwa kosa la uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 10 kwa kujipatia mali za Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU)
MWANZA