Wafanyabiashara wawili, Antonia Zacharia na Timoth Kilumile wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza, kwa kosa la uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 10 kwa kujipatia mali za Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU)
View attachment 677911 MWANZA
Wameamua kukamatana na wenzao, nadhani hawa watakuwa wale wachangiaji, let wait time will tell