John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
Nilipopigiwa simu alfajiri na Wapo Radio kwa upande mmoja niliwaza ni taarifa za siku ya wajinga lakini kwa upande mwingine nilipokumbuka matukio kama hili ya chaguzi za ndogo niliamini kwamba jambo hili linaweza kuwa la kweli. Niliwapa namba ya Wenje kufanya naye mahojiano toka Mwanza.
Ambacho ninaweza kusema kwa sasa ni hiki: JOHN MNYIKA: CCM inategemea matusi, mafisadi na wamwagaji damu; 'kudumisha amani na utulivu' ni maneno ya kuficha matendo yao maovu
Damu ya binadamu haiwezi kumwagika bure!.
Ambacho ninaweza kusema kwa sasa ni hiki: JOHN MNYIKA: CCM inategemea matusi, mafisadi na wamwagaji damu; 'kudumisha amani na utulivu' ni maneno ya kuficha matendo yao maovu
Damu ya binadamu haiwezi kumwagika bure!.