Dindira
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 2,912
- 3,462
Mbunge wa ukerewe ni nani tumjuze kwa simu ?unasema mwanza, nenda ukerewe kisiwa kimezungukwa na maji uone watu wake wanavyopata shida ya maji
Mbunge wa ukerewe ni nani tumjuze kwa simu ?unasema mwanza, nenda ukerewe kisiwa kimezungukwa na maji uone watu wake wanavyopata shida ya maji
Juzi nimepita Nzega stend,ilikuwa balaa. Vyoo vya stend na sehemu jirani havikuwa na maji. Abiria walitaabika sana ukizingatia mabasi kadha yalilala pale .Nachoshangaa nini sasa kwa nchi
Hii mbona mororo tu kwa ujumla tanzania haikutakiwa kuwa na uhaba wa huduma ya maji kila kona maji wananchi hawana maji
Nyakato kubwa mkuuMimi nipo nyakato kuna maji.