Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
CHadema kupata ushindi mpaka iachane na watu wafuatao ili ishindeKwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
1 Tundu Lisu
2Godbles Lema
3Mwamakura
4Katimba
5Bagonza
6Ponda
Wengine wanalekebishika kama
Msigwa na Sugu.
Vinginevyo chadema tungeshaiweka madaraka