Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,402
Moto Ndo uliomuunguza mpaka kufaa Je hakukuwa Na Watu wa kumuokoaa.Au alipoona Hotel inaungua akaamua afe nayoo??Naomba jibuNi hudhuni, masikitiko na furaha hapa jijini mwanza baada ya mzee maarufu na tajiri hapa mjini mzee Shinyanga kufariki jana usiku katika ajali ya moto akiwa katika makazi yake pale shinyanga guest mtaa wa lumumba.
View attachment 522270 View attachment 522271
Hii ni Shinyanga Guest iliyoko katika Jiji la Mwanza iliyowaka moto. Mmiliki wake, mzee Shinyanga amefariki dunia ameungua hadi kufa.