Daraja Makofia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 695
- 901
Hiyo aya ya mwisho kuna watu hawataki kusikia jamaa ameshinda kifo. Unatibua nyongo zao.View attachment 839974
Rais John Magufuli akimjulia hali dada yake Monica ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza. Anatibiwa maradhi ya kiharusi. Picha na Ikulu.
My Take;
Tuendelee kuiombea familia ya rais wetu ili dada yake apone haraka. Kila mtu anapitia mapito pale ndugu yake anapopata matatizo.
Pole wote wanaouguliwa akiwemo Mke wa Mheshimiwa Tundu Lissu. Wote tuna mwili wa nyama.