pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
My Take;
Tuendelee kuiombea familia ya rais wetu ili dada yake apone haraka. Kila mtu anapitia mapito pale ndugu yake anapopata matatizo.
Pole wote wanaouguliwa akiwemo Mke wa Mheshimiwa Tundu Lissu. Wote tuna mwili wa nyama.