Songwe lini tena mkuu?unanitisha? Shule ganNdiyo ulio ukweli mchungu wenyewe.
Songwe na ajali ya watoto wa shule, kule twaambiwa sababu mwendo kasi. Huku panga pangua ngoma itavutiwa kwao.
Hiiiiii bagosha - ni kibwagizo sahihi kuwa sasa nasi tunachoka kutuona sisi ni wajinga wa kudumu.
Hivi hawa jamaa huwa wanatuona je hasa?
Songwe lini tena mkuu?unanitisha? Shule gan
Pole zao wafiwa...rip watotoIko hapa mkuu, sad:
Ruvuma: Mwalimu afariki kwenye ajali ya gari, wengine 11 wakiwemo wanafunzi wajeruhiwa
Mwalimu Jumanne Makandilu amefariki dunia huku watu wengine 11 wakiwemo wanafunzi 7, wakazi wa Mkoani Songwe wakijeruhiwa baada ya gari waliyopanda kutumbukia kwenye korongo wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wakati wakitoka Kwenye Michezo ya UMITASHUTA na UMISETA Mkoani Mtwara. Chanzo: ITVwww.jamiiforums.com
Shangaa na wewe Mkuu, yani kuna Watanzania wajinga kupindukia.Kwahiyo gar ikikaguliwa haiwez kupata ajali? Au waache kukagua mabus
Mawazo yalikimbilia kwa Babu Sikare.Taarifa ya ajali
SSP Babu Sanare OCD Bukoba amepata ajali mbaya gari yake kupinduka maeneo ya Igaka Sengerema na kupelekea kifo chake.
Bwana ametwaa jina la bwana lihidimiwe.
View attachment 1824771
Kama ni kweli, basi alijitakia kifo mwenyewe. Apumzike anakostahili.Speed ya gari ilikuwa 180 KMS per hr. Na alikuwa hajafunga mkanda . R.I.P
Na vipi dereva wake alipona?Alikuwa na gari binafsi walikuwemo wawili tu yeye na dereva