THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
Mama anaogopa kivuli chake mwenyewe....suala katiba haluepukiki ajipange tu awape wananchi wanachotaka
Awape wananchi au awape chadema?
Chadema wanavyoipigania katiba utadhan tumewatuma
Mama anaogopa kivuli chake mwenyewe....suala katiba haluepukiki ajipange tu awape wananchi wanachotaka
CDM ni wahalifu waliojificha kwenye ngozi ya siasaPolisi wapambane na uhalifu wao busy na CHADEMA.
Huyu Mbowe ameonyesha pasipo na shaka kuwa hana busara ya aina yoyote ile na hastahili kuwa kiongozi.Kutaka mheshimiwa Rais afuate anachoamini yeye Mbowe (TONDO) ni ujinga ulipitiliza ,nadhani mama anastahili kuwa tough zaidi dhidi ya huyu kiumbe.Marehemu Magufuli sasa ndio nimeanza kumwelewe kwa nini alipiga vita siasa chafu za hawa wahuni ,eti tunataka muafaka wa kitaifa ?huyu mpuuzi Mbowe mama simamia nchi ,asituyumbishe hata kidogo.Wa
Wajinga wa aina hii ndio wanaifanya nchi yetu kushindwa kuendelea. Wewe hujui hata kama unadhulumiwa na mfumo uliopo? Huyo Mbowe ni tajiri wa kujitosheleza angeliweza kukaa tu na kula na kunywa lakini anatetea washenzi tele na bado hawamuelewi.
Leo mbowe ndio kawa wananchi ?jaribuni kuwa serious basi ,huyu mpuuzi anakimbizana na per diem eti anataka katiba mpyaMama anaogopa kivuli chake mwenyewe....suala katiba haluepukiki ajipange tu awape wananchi wanachotaka
Hahahaha we jamaa umehama chama,chadema nani aliwatuma hahahahaAwape wananchi au awape chadema?
Chadema wanavyoipigania katiba utadhan tumewatuma
Chadema Kwan wapinzan wenzenu mbona wametulizana wanaweka Mipango yao,nyinyi tokea Magufuli afarik kila siku fujo tuh,mnajiona wajaaanja KIBOKO yenu kavuta siyo?teh teh
Shujaa kwa mataahiraMbowe ni shujaa !
Biashara hii hapo mazuzu yatatoa pesa etiNamba ya mchango wa kuwachangia makamanda wetu huko walikoshikiliwa ni 0777 830 0000,Jina litatokea Mdude Chadema,tuchangie kwa haraka makaman
Mbowe ni shujaa !
Wananchi wapi?Mama anaogopa kivuli chake mwenyewe....suala katiba haluepukiki ajipange tu awape wananchi wanachotaka
pole kijanaShujaa wa wapumbavu kama wewe hapo