Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Vipi kamanda utaingia kwenye maandamano?Wanaoleta vurugu ni Bakwata iddi ilikuwa jana.
Vipi kamanda utaingia kwenye maandamano?Wanaoleta vurugu ni Bakwata iddi ilikuwa jana.
Hawa na njaa zao wakiachwa waandamane watapora kuliko wale wazulu wa Zuma.Vipi kamanda utaingia kwenye maandamano?
Hao wanafanya kitchenparty,bladifaken punguani wahedNajua wapinzani hawawezi kuelewa hili lakini ndio ukweli.
Kuwaacha Chadema wafanye kongamano kisha wangefanya maandamano na ingeibuka hali ambayo kila mtu angekuja kujutia.
Kwaio polisi kufanya vile mi naona ni sawa, Tz kwa sasa serikali hii bado ni mpya, bado inahitaji muda kuweka mambo sawa na imeanza vizuri, mambo kama kuongezeka kwa tozo ni matokeo au muendelezo wa utawala ulopita kwenye mambo ya mapato.
Wapinzani wakati mwingine inabidi wawe watulivu na wawe wanajaribu kuelewa hali halisi sio kila kitu wanashikilia
Tuelekeze nguvu zetu kwenye uchaguzi 2025, CCM itoke madarakani.Peaneni tu hati za kuimiliki tanzania ilihali mkiwadhulumu wengine na kukiuka sheria,halafu mkiwadhihaki raia,kwani hui kwenu ndio uzalendo.
Yule kenge wenu alianzisha maandamano 2020 alifanikiwa ,Mange kimambi alifanikiwa ? maandamano yenu kwenye mitandao mlikuwa mkoo juu ,ila fujo zenu za hivi karibuni vijana wengi wameanza kuwananga pia ,na mkishakataliwa kwenye mitandao sijui mtaenda nchi gani?labda machame ijitenge iwe ni nchi kamili.Kwa sasa Kulalamika hakusaidiii,pia kudhani kwamba matukio ya kukamatwa viongozi wa kisiasa na kuripotiwa na vyombo vya kimataifa ni suluhisho,hapana vyombo vya kimataifa kwa sasa vinataka kuona hatua zaidi kuonekana kutoka kwa wafuasi wa viongozi hao siyo kuishia kuandika"FreeSomeOne".Tutambue vyombo vya kimataifa na mataifa wanataka kuona hasira za wafuasi na wananchi kudai na kupinga viongozi kuachiwa.sasa hatua kwa sasa ni moja Maandamano nchi nzima mithiri ya S.Afrika.We born once and Die Once no matter it cost.View attachment 1862634
Kwa upinzani uliopo Tanzania, sio CCM ikitoka madarakani.Tuelekeze nguvu zetu kwenye uchaguzi 2025, CCM itoke madarakani.
Mimi nimeishaweka wazi kuwa nampa Mama muda kidogoVipi kamanda utaingia kwenye maandamano?
Kwa hiyo umeamua kuwaza kwa niaba ya CHADEMA?Ulipanga nao mipango ijayo au unabuni na kuhisi tu?Najua wapinzani hawawezi kuelewa hili lakini ndio ukweli.
Kuwaacha Chadema wafanye kongamano kisha wangefanya maandamano na ingeibuka hali ambayo kila mtu angekuja kujutia.
Kwaio polisi kufanya vile mi naona ni sawa, Tz kwa sasa serikali hii bado ni mpya, bado inahitaji muda kuweka mambo sawa na imeanza vizuri, mambo kama kuongezeka kwa tozo ni matokeo au muendelezo wa utawala ulopita kwenye mambo ya mapato.
Wapinzani wakati mwingine inabidi wawe watulivu na wawe wanajaribu kuelewa hali halisi sio kila kitu wanashikilia
Noma Sana chama Cha wachagaunapomwambia mtu atake asitake utafanya utakacho sasa yeye akifamya mnaanza tia huruma
We n mpuzi tu, hivyo tunapasws kukupuza!!Najua wapinzani hawawezi kuelewa hili lakini ndio ukweli.
Kuwaacha Chadema wafanye kongamano kisha wangefanya maandamano na ingeibuka hali ambayo kila mtu angekuja kujutia.
Kwaio polisi kufanya vile mi naona ni sawa, Tz kwa sasa serikali hii bado ni mpya, bado inahitaji muda kuweka mambo sawa na imeanza vizuri, mambo kama kuongezeka kwa tozo ni matokeo au muendelezo wa utawala ulopita kwenye mambo ya mapato.
Wapinzani wakati mwingine inabidi wawe watulivu na wawe wanajaribu kuelewa hali halisi sio kila kitu wanashikilia
Miingoni mwa wajinga umoYule kenge wenu alianzisha maandamano 2020 alifanikiwa ,Mange kimambi alifanikiwa ? maandamano yenu kwenye mitandao mlikuwa mkoo juu ,ila fujo zenu za hivi karibuni vijana wengi wameanza kuwananga pia ,na mkishakataliwa kwenye mitandao sijui mtaenda nchi gani?labda machame ijitenge iwe ni nchi kamili.
Under what act in our current constitution that prohibit political activities in the nation? The President has no power to prohibit political activities in the nation. Unless we seek for the new constitution.unapomwambia mtu atake asitake utafanya utakacho sasa yeye akifamya mnaanza tia huruma