Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,759
- 4,307
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemhukumu Mwandishi wa habari Albert Sengo kulipa faini ya Shilingi Milioni tano au kifungo Cha Mwaka mmoja jela. Mwandishi Sengo amechagua kulipa faini na kuachiliwa huru.
Sengo aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kutoa taarifa mtandaoni na kuendesha Kituo cha habari mtandaoni (GSENGO Online TV) bila kuwa na leseni kinyume na Sheria.
PIA SOMA:
= > Mwanza: Mwandishi wa Habari, Albert Sengo Kizimbani akishtakiwa kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni
Sengo aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kutoa taarifa mtandaoni na kuendesha Kituo cha habari mtandaoni (GSENGO Online TV) bila kuwa na leseni kinyume na Sheria.
PIA SOMA:
= > Mwanza: Mwandishi wa Habari, Albert Sengo Kizimbani akishtakiwa kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni