Kyakashombo
Senior Member
- Oct 13, 2018
- 150
- 232
Mwalimu mmoja wa shule ya msingi wilaya ya Misungwi mkoa wa Mwanza amefikishwa mahakamani katika wilaya hiyo kwa kosa la kumchapa Mwanafunzi na kumvunja mkono.
Taarifa zinasema Mwalimu huyo alikuwa akifafundisha wanafunzi jinsi ya kucheza mpira wa Pete, na akawaonya wanafunzi kuwa atakayedondosha mpira atapata adhabu, ndipo mmoja wao mpira ukadondoka na kuchapwa. Katika harakati za kujiokoa akatega mkono na ukavunjika.
Hakimu ameahirisha kesi mpaka tarehe 13/05 na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana
Taarifa zinasema Mwalimu huyo alikuwa akifafundisha wanafunzi jinsi ya kucheza mpira wa Pete, na akawaonya wanafunzi kuwa atakayedondosha mpira atapata adhabu, ndipo mmoja wao mpira ukadondoka na kuchapwa. Katika harakati za kujiokoa akatega mkono na ukavunjika.
Hakimu ameahirisha kesi mpaka tarehe 13/05 na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana