Mwanza: Msalaba Mwekundu wakanusha habari ya Watu kuzimia huku wameshikilia mifuko yao

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,518
217,784
Mratibu wa Red cross Mkoa wa Mwanza amesema kwamba hakuna mtu yeyote aliyezimia akishikilia mfuko wake mkononi wakati wa kuaga mwili wa Dr Magufuli Mkoani humo.

Bali kilichotokea ni kwamba maofisa wa Red cross walikuwa wanawavisha mifuko ama mikoba yao mikononi waombolezaji hao waliozimia ili kulinda mali zao.

Ufafanuzi huu wa kishindo umetolewa kwenye kipindi cha Leo Tena cha Redio Clouds .

Pia soma: Hivi inawezekana mtu kuzimia na kuendelea kushikilia mfuko aliobeba?
 
Bali kilichotokea ni kwamba maofisa wa Red cross walikuwa wanawavisha mifuko ama mikoba yao mikononi waombolezaji hao waliozimia ili kulinda mali zao.

.
1. Kuna tofauti ya kuvishwa na kushikilia..niliwaona mimi wameshikilia.

2. Nikiwa nimezimia nikavishwa mfuko wangu nitaulindaje hali sina fahamu?
 
Bali kilichotokea ni kwamba maofisa wa Red cross walikuwa wanawavisha mifuko ama mikoba yao mikononi waombolezaji hao waliozimia ili kulinda mali zao

1. Kuna tofauti ya kuvishwa na kushikilia..niliwaona mimi wameshikilia
2. Nikiwa nimezimia nikavishwa mfuko wangu nitaulindaje hali sina fahamu?
Nyie wapingaji mbona hamuelewi 😆😆
 
2723011_IMG-20210324-WA0003.jpg
 
Na wale walioshikilia simu pia walivishwa?
Bali kilichotokea ni kwamba maofisa wa Red cross walikuwa wanawavisha mifuko ama mikoba yao mikononi waombolezaji hao waliozimia ili kulinda mali zao
.
1. Kuna tofauti ya kuvishwa na kushikilia..niliwaona mimi wameshikilia
2. Nikiwa nimezimia nikavishwa mfuko wangu nitaulindaje hali sina fahamu?
 
Back
Top Bottom