Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 207
- 453
Mkazi wa Malimbe kata ya Luchelele Mkoa wa Mwanza amekutwa amejinyonga kwenye bucha majira ya asubuhi.
Taarifa iliyotolewa na mmiliki wa bucha inasema ilikuwa kawaida yake kuwahi kufanya usafi kwenye bucha.
Jeshi la polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Source via Mussa Elias.
Taarifa iliyotolewa na mmiliki wa bucha inasema ilikuwa kawaida yake kuwahi kufanya usafi kwenye bucha.
Jeshi la polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Source via Mussa Elias.